jamani mi ni msichana. Pia mod ameichakachua thread yangu mi nliandika vzur tu na nkaweka contact nashangaa wamezitoa. Ok 2wasiliane kwa 0719144177 or 0764934546
Nipo serious na ninahitaj mume ambaye atakuwa na umri wa miaka 27-31,awe na kaz yoyote halali na elim yoyote. Mi umri wangu ni miaka 27 na nimehitim chuo kikuu na ninakazi kwa sasa. Karibu!.0719144177 or 0764934546
Kwan uchaguz 2005 urishirikisha ubunge peke yake mbona mnakomalia ubunge tu?,kulikuwepo diwan wa NCCR wenye nguvu sana tu ndo alikuwa anahofiwa pia jk alizoa kura zote kitu ambacho si cha kweli yan alishnda lkn c kwa kishndo kama ilivyotangazwa pale. Jaman CCM wanapga kura nje ya...
jamani,tulipewa hiyo pesa wote pamoja na mawakala wa vyama vingne nao wakaridhia kubatilisha matokeo...nitafute sifa gan hapa maana hakuna mtu anayenijua
Jaman wanaJF wazima?
Mimi mwaka 2005 milikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi ktk kata moja iliyopo ktk jimbo la Ismani(kwa Lukuvi),kiukweli tulichakachua sana matokeo yan sikutangaza matokeo halisi, nilipewa laki 2 na kuipendelea CCM.
Najutia hayo maana leo ndo nimeenda kijiji kimoja kilichopo...
hii ndo JF bana,yan ni kila ki2,.mi nawashukuru wote na nmeenda leo ofic moja nkaanza kazi,kweli salary ni 400000 hyo haikatwi chochote ila inaongezwa na 37000 kama communication expenses na transport. Jaman mi nataka kujua how ntaweza kuichangia JF coz mi kwangu ndo kila ki2 yan...
Habari wakuu!,mi ni graduate-2011 na nimekuwa nikifuatilia matangazo ya kazi hapa JF na kutuma application zangu, nimeitwa kwenye interview 5 na sasa nimeitwa kufanya kazi kwenye kampuni 3 tofauti, zote nimepewa mikataba nimeisoma lkn sijaisaini bado, tatizo ni malipo. Yani ina-arange 380,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.