Wakuu Habari,
naomba munisaidie nawezaje kufungua "word document" iliyo na password (siijui password iliyowekwa), kama kuna software ya kufanya hilo naiomba.
Natanguliza shukrani,
Mak.
MwanaHaki, ni vizuri kwenye UKWELI kutoongopa, haisaidii kitu kuongopa. Naijua vizuri familia ya kina Halima Mdee, Halima ni MKRISTO, kama alivyo Baba na Mama yake, bali ndugu wengi wa Baba yake ni WAISLAMU. Nikija kwa Anna Komu, alikuwa anaitwa Maulidah kabla ya kubadili dini na kuwa Mkristo...
Ndugu wana Jamii,
namtafuta Bwana mmoja anaitwa kwa jina la Ukoo Mshauri. Huyu bwana alikuwa University of Dar es Salaam miaka ya 1999. Alikuwa anachukua BCom. Nadhani alikuwa anaishi Magomeni. Na kama sikosei aliacha chuo na kwenda USA, ama alienda USA baada ya kumaliza chuo.
Yeyote anayemjua...
Rais anapozungumza na kundi fulani la jamii, ndio anafikisha ujumbe kwa Taifa zima. Mara nyingi maRais wa Tanzania wamekuwa wakizungumza na Wazee wa Dar es Salaam manake Serikali iko Dar, japo wanadai Makao Makuu yako Dom. Hivyo kwa kuwa Makao Makuu ya Serikali yako Dom, na Rais alitaka...
Mbunge wa Nzega aingia matatani
Fidelis Butahe
MBUNGE wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora, Lucas Selelii amelaumiwa kwa kauli anazodaiwa kutamka kwamba kila mtu anayetaka ubunge akagombee kwao na kwamba, mgombea wa Jimbo la Nzega lazima awe mkristo ili kuepusha kuibua suala la Mahakama ya...
Anajikanganya, umekosea umekosea tu. Huwezi toa mifano kuwa kuna watanzania kibao wanafanya hivyo. Kwani kuwa watanzania wangapi wezi, kama kuna watanzania wezi haimaanishi tuhalalishe wizi. Kumbe naye ni JUHA kama CCM wenzake. Kwenda zako Mwakyembe na liCCM lenu.
Pole mheshimiwa, tunakuombea upate nafuu haraka na uondokane na hiyo mitihani ya dunia.
Na wanaorushiana "Vijembe" katika hii thread wakati mwingine mfikiri, hivi angekuwa anayeugua ni mwanao, Kaka, Mjomba nk, ukapata nafasi ya kuingia humu ungeanza kuandika mambo ya ajabu ama ungekuwa...
sina haja ya kumtetea, ila penye haki nitasema. Maelezo ya hiyo picha ambayo aliyeileta naona kaitoa katika gazeti la Majira ni kuwa anafuatilia hoja mbalimbali za wabunge waliokuwa wanachangia bajeti ya PM. Sasa aliyempiga picha kaandika alikuwa anafuatilia, anayeleta humu anasema "wapinzani...
Hawa ndio CCM, yale yote aliyosema Dr. Slaa baadhi ndio hayo majibu tumepata. Ina maana MEREMETA ulikuwamradi wa Jeshi. Hatukatai MEREMETA kuwa ya Jeshi, na tulielezwa hilo tangu mwanzo. Suala ni kuwa kama ilikuwa ni mradi wa Jeshi ulizalisha kiasi gani, kwanini CAG akataliwe kukagua mahesabu...
Baada ya kusoma kwa utulivu shule yote ya Dr. Slaa, najiridhisha kuwa hakuna majibu yatakayotoka hapo. Yani nimeumia, mfano mdogo ni issue ya kubinafsisha Mgololo. Hivi kweli hawa jamaa ni watanzania. Wanafanya haya kutuona raia ni wajinga ama wanapata wapi huu ujasiri. Yani hapa nina hasira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.