Kama kuna mtu anashida na album ya HBC ile ya Funga kazi yenye nyimbo kama Eeh Mola,Funga kazi,Chemsha bongo,Mamsap,Chuzi limekubali,Nusu peponi Nusu kuzimu,Time for Action,Fanani tunaweza kuchekiana kwenye whatsapp 0713210056 vigezo na masharti kuzingatiwa.
Jamani na mambo haya ya Tamaduni za wenzetu mtawauwa watu kwa presha jamani mi wasiwasi wangu umeanzia kwanza kwa chanzo cha habari pili namna habari ilivyoandikwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.