Naaam Mnyika anajua anachofuata Bungeni gvmnt ikikosea hajalishi ni chama chako wewe mbunge au si chako lazima uikosoe ili mambo yaende sawa.. kasumba ya kuikumbatia serikali eti kisa ni chama chako ndo imetufiisha hapa pabaya tulipo.. big up Mnyika..
Hakuna haja ya kuweka dirisha dogo chooni kwa kisingizio cha faragha kwani mbona chumbani ni sehemu ya faragha kuliko chooni lakini mnaweka bonge la dirishaa
Tulia na wako mama,,, wanaume wa namna ambayo umeelezea hapa 90% ni pasua vichwa ukijiingiza hapo utajuta kumfahamu, mpende na kumtunzia tunda mwenzi wako
Listen its simple,, usiwe na haraka muandae mwenzio kwa muda kidogo kissing, hugging,touch za hapa na pale kwenye sensitive part zake then bidae unaweka mzigo ndani na kutoweka mawazo hapo utakuta anatumia mda mfupi kufika na mambo yanakuwa safi ndugu yangu,,,, ( make sure mwenzio siku anainjoy...
Kwenye kuhudumia mgodi dady iz the head of the family, mambo mengine beijing inatawala mtatuua jamani embu tuoneeni huruma wababa,, big up kwa huyo jamaa unapopata chance tupia mzigo kwa mama nae aangaike nao,, hahaha raha
Mh na wewe embu tukuulize kama kakipato chako ni kadogo unawezaje kuhudumia hiyo familia kwa kila kitu,,, au kaka yetu kuna mtu anamsaidia na yeye kashtukuia kaamua kuwaachia muendelee kumsaidia na yeye aendelee kula bata zake???????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.