Wadau natumai mnaliendeleza vema gurudumu la elimu. Naomba kwa aliye na mtaala (syllabus) ya somo la dini kwa shule za sekondari anisaidie.
Nimejaribu kutafuta kwenye taasisi ya elimu bila mafanikio. Aidha kwenye bookshop ya Lutheran sikufanikiwa.
Msaada tafadhali.
Nimeshangazwa na jina la ndege iliyomleta Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ndege hiyo kama unavyoona pichani imepewa jina la HEWA BORA. Ni kitu gani kinakuwa promoted hapa? Waliotoa jina hili wanalenga nini? Kiswahili ni lugha ya Kongo pia? Ni bora hata ya jina lililopendekezwa kwa...
Sasa ni dhahiri kuwa mabadiliko ya tabia nchi yanaendelea kuipa dunia ya leo changamoto zisizo na kifani. El nino tayari imeanza kuleta madhara kwenye baadhi ya nchi na uharibifu wa mazao unatarajiwa kuleta uhaba wa chakula na bila shaka ongezeko la bei ya chakula hususan katika nchi zilizo...
Ni jambo lisilo shaka kwamba mheshimiwa ENL amekuwa akijipanga kwa muda mrefu ili kuipata nafasi ya urais wa JMT. Nifananishe kinyang'anyiro hiki na kumchokoza paka na hali umefunga mlango wa chumba. Paka akigundua hana option atapambana ana kwa ana na yule anayemzuia kutoka na hata kumjeruhi...
Nimejiuliza mara nyingi kuwa kati ya viongozi waliohusika kwenye muungano nimesikia hotuba nyingi za mwl. Nyerere lakini za Karume sijawahi kuzisikia. Je zipo? Mwenye nazo atuwekee angalau tusikie kwamba alikuwa ni mtu mwenye dira ipi?
Mimi ni mteja wa Vodacom na simu yangu ni Iphone 3gs.
Katika matumizi ya kawaida nikapata sms kutoka Vodacom inayoniambia ni follow link hiyo ili nifanye setting ya internet. Kila nikiclick browser inakataa, message ni kuwa it can not open the link or server. Naomba mwenye maujuzi ni kwa nini...
Unakwenda kwenye ofisi ya TRA ukiwa radhi kulipa kodi.
Unakutana na mlolongo wa ukiritimba. Unasimama foleni benki kwa masaa mawili ili kuwapa fedha. Mazingira ni mabovu na watu wamejazana kupita kiasi. Hakuna hewa ya kutosha. Hata hivyo hakuna meneja anayeonyesha kujali wala kudhibiti...
Wakuu kama kuna mtu ana njia ya kunisaidia kuinstall call function kwenye hii kitu. Nasikia siku hizi inawezekana. Mwenye maujuzi tafadhali.
Sent from my GT-P7500 using Tapatalk 2
Ndugu Watanzania, tumehesabiwa, jumla tuko 44,929,002.Tanzania Bara 43,625,434 na Tanzania Zanzibar 1,303,568.Asanteni, Dkt. Jakaya M Kikwete.
Sent from my iPhone
Jioni ya leo nimeshindwa kupata fedha kutoka ATM ya NBC nikiambiwa account yangu haiwezi kufanya transaction yeyote. Nimeshuhudia pia watu kadhaa wakifikwa na hali kama hii. Lakini nikiendelea kuzubaa hapo hapo nisijue la kufanya watu kadhaa wameweza kutoa hela. Ajabu nyingine nimeshuhudia...
Joseph Nyamu is one of four judges to be dismissed
Four senior judges in Kenya have been declared unfit for office in a landmark ruling by a new committee investigating the impartiality of the judiciary.
The vetting panel was set up as part of the deal to end post-election violence in 2008 when...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.