Pascal hivi haya yanayofanyika wewe unayapenda. Kweli Pascal unayapenda ebu sema ukweli from your HEART. Au kuna kitu unakitaka, mbona umebadilika baada ya kuomba kugombea Ubunge. Au ni kwavile walikunyanganya fursa zote mpaka ukaanza kukosa namna ya kulisha familia. Kama umerudi kwa ajili ya...
Kwani ukishachaguliwa na kuwa mbunge. Pale bungeni unakuwa mwakilishi wa nani. Unakuwa mwakilishi wa chama au wananchi waliokuchagua??. Kwa maneno ya Ndugai inamaana watakaochaguliwa na Wanacvm hawatakuwa wabunge wa wananchi, watakuwa wabunge wa chama na serikali hivyo hawataweza kuwatetea...
Inabidi afanye kampeni na kuwaelewesha wafuasi wa CDM kwanza, kuhusu Tume. Baada ya wafuasi kuwaelewa ndio sasa mtaiambia tume tunataka wagombea wetu warudishwe. Hapo wafuasi watakuwa wameshawaelewa ata mkiwaambia tunaandamana kuelekea tume wataenda. Ngoja tumsikie leo ataongea nini juu wagombea...
Wanapoongea akina Musiba, Nape na wengine wa CCM huyo IGP wako anakuwa amwbanwa na mavi nn. Kwann anashindwa kuwakemea au kukemea. This time lazima watatema vyeo na watashtakiwa kwa kutumia vyeo vyao vibaya. Bora tufe wachache kwa ajili ya wengine. Na ni bora kufa kwa kuwatetea wenzako. Ndivyo...
Siro muongo anataka kutuletea zile za IGP MAHITA na CUF kuwa CUF wamebeba majambia kwenye MaContainer. Kama kuna njama za kuchoma vituo za mafuta basi watakuwa ni CCM wakilindwa na Polisi halafu wasingizie Opposition.
This time wameshikwa pabaya. Tendeni haki ili msije mkapelekwa The Hague au...
Mataga bwana hivi ujui kuwa halmashauri ya Chato anapokaa huyo Meko inaongozwa na CHADEMA. Muombe mungu asikunyime akili. Mataga wamenyimwa akili. Yaani vichwa vyao ni matope
Wewe unatakiwa ukaeudie darasa la kwanza. Yaani mataga cjui akili zenu zimeenda wapi. Unataka kusema hao wagombea wa ccm wanao wanachama mamia kwa mamia ktk kila mkoa. Endeleeni kujitekenya. C mliwanunua wabunge mnalalamika nn sasa wapitisheni. Tuibadilishe Tanzania hawa wasiojua dunia inaenda...
Ni kwa vile aelewi kuwa mamlaka ya mbunge ni makubwa kuliko ukuu wa mkoa. Yaani yeye anaona kwa vile Magufuli anachezea sheria ndio itakuwa hivyo miaka yote. Haha yataisha mwezi wa kumi na moja wakati wenye nchi watakapochukua nchi yao na kuweka katiba yao inayofuata sheria na haki. Ndio atajua...
Ebu rudia hata mara tatu kumsikiliza, hajasema kuwa Magufuli anahusika alichokisema ni kwamba viongozi waliopo yaani huyu mkuu wa mkoa wanamchafua rais kwa kuwaonea watu. Kwasababu wanapofanya hivyo mara nyingi wanasema maelekezo yametoka juu. Maelekezo yanakuwa yametoka juu wapi?? Mbinguni??
Zimepita siku karibu mwezi sijamsikia spika wa bunge letu kusema lolote kuhusu nafasi za wabunge wetu waliyochukuliwa kwa mapenzi ya mungu. Na sijasikia hata sisi wananchi ambao tunalipa kodi na kuwalipa wabunge kusikia chochote kuzungumzia kuhusu nafasi zilizo wazi kwa waliochukuliwa na muumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.