Kaka upo sahihi kabisa! c ukabila na udin umejaa hapo! Me huwa nakasirika sana pale Kanisani tulipotakiwa kuleta vyeti kwa ajili ya ajira ktk sekta ya serikali! na kuna wa2 walikimbiilia kuforge vyeti na yule jamaa hakavichukua na sasa wanaajira! Tatizo ni kwamba wanatutia aibu ktk utendaji kazi...
Du! aisee nami nakumbuka mbali sana, ila c tulitia fora pale jamaa aliposhinda tukaanza kushangilia Yesu! Yesu! Lkn lazima tukubali wakristo tuliwazidi kete waislam hasa hapa Social, kusema kweli Bashe alistahiki kuwa kiongozi ana sifa zote kuliko yule dada, lakini kwa kuwa tulikula kiapo cha...
Me sijafamu Bakwata, wanatetea mtu au Vazi! nasi tusikirupuke maana kesho anaweza kuvuliwa m2 msalaba, na kukashifu ukristo, ina maana wakristo tukae kimya maana aliyevaa msalaba c mkristo, nadhan umakini wa fikra unahitajika ktk suala hili
Sorry wadau, tunavyotoa comment za kukejeli dini ya watu, tunaonesha wazi nia yetu sisi wakristo kama tunawakeli waislam, ambao ndio hao hao wapiga kura wa CHADEMA, tuache jazba tujadili hoja, hivi ni kweli waislam wala ubwabwa, darasa la pili, wacheza bao, hivi hakuna waislam waliosoma. Tuache...
Japokuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya Chama na Mtu, mara nyingi mtu huongozwa na itikadi ya Chama Chake. Lakini nahofia kukihukumu moja kwa moja CCM, kwa hili la Rage, maana makamanda we2 wa CHADEMA nao huweza kukamatwa na bangi, silaha, coz nao ni binadamu then tukahukumu moja kwa moja. nadhan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.