Kweli mkuu. Sports arena hamna kitu kabisa tofauti na matarajio ya wengi. Hivi Ricardo Momo anafanya nini pale? Hajui kuchambua mpira. Gorge Ambangile anabore kuchanganya lugha mbili wakati anaongea. Kiingereza chenyewe broken. Halafu ana matatizo ya kuchanganya R na L. Kitenge kipayuka tu. Eddo...
You are so concerned with business which is not yours. Kufanikiwa na kutokufanikiwa kwake kuna impact ya moja kwa moja na maisha yako binafsi? Kutafuta pesa ni phrase niliyotumia kumaanisha " mind your business"
Kwanini matusi, huwezi kutoa maoni yako bila kutumia lugha ya kuudhi?
"Nyimbo" ndiyo nini? Umesoma kiswahili kweli wewe shuleni?
Kama kitu hujakipenda, unataka kulazimisha kila mmoja asikipende?
Ulivyoogusia kurudisha bifu ndiyo umejidhihiriaha ulivyo na agenda ya siri! Hater!
Hivi kwanini Kiba akitoa wimbo thread huwa hazikauki humu? Wasanii wanatoa nyimbo kila kukicha hatuoni chuki ya namna hii, why Kiba?
Hata kama ameishiwa, sijui anacheza mpira inakupunguzia nini kwenye maisha...
Tafuta pesa kijana, acha kujisumbua na mtu ambaye tayari ameshatengeneza maisha yake kupitia mziki huu.
Kiba kashafanya kila kitu, miaka zaidi ya 15 kwenye game. Kwa sasa nadhani anakula mafao yake taratibu.
Tatizo mambo ya uteam ndiyo yanayowachanganya sana. Kama Kiba anakuzingua, wapo...
Kazi nzuri vijana, endeleeni kuleta vitu vizuri zaidi.
Kuna vijana wanachuki za ajabu hadi unashangaa. Wasanii mbalimbali wanatoa nyimbo kila siku, baadhi nzuri nyingine mbaya, lakini huwezi kuona comment za chuki kama Kiba anapotoa nyimbo zake
Ila pamoja na yote, SA ni bonge moja is nchi! Hiyo Joburg ni next level. Kuanzia barabara, majengo, aina ya magari barabarani ni hatari tupu. Sandton City siyo ya Africa hii! Gautrain, aisee! Noma sana
Usiniambie!
Pazia, Usiku wa Manane, Mpinga Kristo album bora kabisa kutoka kwa hao jamaa. Mimi ni shabiki wao mkubwa japo sio AICT!
Ushuhuda wa hovyo kabisa huu! Sidhani kama nitapata morali ya kununua album yao nyingine watakayotoa.
Mimi ni Simba kulia lia lakini huyu Manara hakika ni tatizo. Club kubwa kama hii haihitaji kuwa na PR officer kama huyu! Bogus kabisa jamaa! Ukifuatilia anayoandika kwenye mitandao ya kijamii unabaki unashangaa! Magumu wanayopitia Yanga leo yanamuhusu nini kama msemaji wa Simba! Kweli kuna utani...
Naomba pia muongeze jukwaa la
SAFARI (Travel)
Hapo member watatoa uzoefu wa maeneo mbalimbali waliyowahi au wanatarajia kusafiri, jinsi ya kuomba na kupata visa, maisha ughaibuni n.k Pia member wanaweza share
Diaries zao za safari, picha mbalimbali za maeneo waliyotembelea nk
Nimehudhuria shoo yake ya Kansas City hadi nimemuonea huruma. Watu hata 30 hatujafika, naye akawa disappointed hata kupaform vizuri. Aisee wadau, mziki wetu bado sana kujulikana huku ughaibuni!
Kitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.