Habari za jioni wadau,
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote
Habari za jioni wadau,
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?
Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.
Habari za jioni wadau Nataka kumiliki silaha either bunduki au bastola so nilikua naomba kwa wenye uzoefu naomba kujua sehemu naweza kununua silaha na bei zake na ni vibali gani vinahitajika hadi niweze kumiliki silaha niatashukuru sana kama nitaweza kupata maelekezo
Habari za jioni wadau Nataka kumiliki silaha either bunduki au bastola so nilikua naomba kwa wenye uzoefu naomba kujua sehemu naweza kununua silaha na bei zake na ni vibali gani vinahitajika hadi niweze kumiliki silaha niatashukuru sana kama nitaweza kupata maelekezo
Habari za saa hizi,
Wadau ninaomba msaada kwenu kwa wenye uzoefu juu ya hii kitu inayoitwa digital sim nimenunua simu Iphone 11 dual sim baada ya simu kunifikia nikagundua kwenye tray ya kuweka simu hamna sehem ya kuweka line ya pili lakini ina emai mbili na kwenye settings inaonesha kuna sehem...
Sasa ni rasmi serikali imeziunganisha benki ya TIB investment na TPB Bank zamani Benki ya Posta na sasa ni benki moja. Nadhani serikali ya Rais Magufuli sasa hivi inataka kuwa na benki moja tu ya serikali hopefully itakuwa mkombozi kwa wananchi especially kwenye suala zima la mikopo sababu benki...
Habari za jioni wadau ninataka kusafiri kutoka Arusha kwenda Dar Es Salaam na mbwa wangu nilikua naomba kwa wanaofahamu namna gani naweza kusafiri na mbwa wangu kwa kutumia usafiri wa public Ka mwenye uzoefu msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.