Search results

  1. pitbull

    Nichukue ipi kati ya IST na Corolla Runn X?

    Sio new model mkuu iyo bei yake imechangamkaa
  2. pitbull

    Nichukue ipi kati ya IST na Corolla Runn X?

    Ist ni imara zaid kuliko runx
  3. pitbull

    Nichukue ipi kati ya IST na Corolla Runn X?

    Habari za jioni wadau, Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote
  4. pitbull

    Nichukue ipi kati ya IST na Corolla Runn X?

    Habari za jioni wadau, Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.
  5. pitbull

    Naomba kujuzwa bei ya Bamper ya Premio x 2003

    Naomba kujua bei ya bamper ya mbele ya gari tajwa hapo juu.
  6. pitbull

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Habari za jioni wadau Nataka kumiliki silaha either bunduki au bastola so nilikua naomba kwa wenye uzoefu naomba kujua sehemu naweza kununua silaha na bei zake na ni vibali gani vinahitajika hadi niweze kumiliki silaha niatashukuru sana kama nitaweza kupata maelekezo
  7. pitbull

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Habari za jioni wadau Nataka kumiliki silaha either bunduki au bastola so nilikua naomba kwa wenye uzoefu naomba kujua sehemu naweza kununua silaha na bei zake na ni vibali gani vinahitajika hadi niweze kumiliki silaha niatashukuru sana kama nitaweza kupata maelekezo
  8. pitbull

    Wapi nitapata tray ya kuweka line ya iphone 11

    Msaada tafadhali, natafuta tray ya kuwekea line ya iphone 11 nimepoteza ya kwangu
  9. pitbull

    Je, TV Hisense Brand zikoje?

    Natumia TCL iko vizuri sana
  10. pitbull

    Msaada juu ya digital sim

    Msaada please wakuu cc@Chief mkwawa
  11. pitbull

    Msaada juu ya digital sim

    Habari za saa hizi, Wadau ninaomba msaada kwenu kwa wenye uzoefu juu ya hii kitu inayoitwa digital sim nimenunua simu Iphone 11 dual sim baada ya simu kunifikia nikagundua kwenye tray ya kuweka simu hamna sehem ya kuweka line ya pili lakini ina emai mbili na kwenye settings inaonesha kuna sehem...
  12. pitbull

    Benki za TPB na TIB zaungana rasmi

    Sasa ni rasmi serikali imeziunganisha benki ya TIB investment na TPB Bank zamani Benki ya Posta na sasa ni benki moja. Nadhani serikali ya Rais Magufuli sasa hivi inataka kuwa na benki moja tu ya serikali hopefully itakuwa mkombozi kwa wananchi especially kwenye suala zima la mikopo sababu benki...
  13. pitbull

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nendeni TPB Bank siku moja tu unafungua mkuu
  14. pitbull

    Jinsi ya kusafirisha mbwa

    Habari za jioni wadau ninataka kusafiri kutoka Arusha kwenda Dar Es Salaam na mbwa wangu nilikua naomba kwa wanaofahamu namna gani naweza kusafiri na mbwa wangu kwa kutumia usafiri wa public Ka mwenye uzoefu msaada tafadhali
Back
Top Bottom