Kwa mujibu wa kanuni za bunge SEHEMU YA SABA ( UHALALI WA SHUGHULI) ibara ya 77 ya kanuni ina sema Akidi ya vikao vya Bunge
77.-(1) Akidi kwa kila kikao cha Bunge wakati wa kufanya maamuzi
itakuwa ni nusu ya Wabunge wote, kama ilivyofafanuliwa katika
Ibara ya 94 ya Katiba, isipokuwa kwamba...
Jamani nimzimu gani umewaingilia hawa jamaa wamelazimishia mpaka lema kavuliwa ubunge, sasa kinachofuata ni vita mji wa arusha kwani bado tuna kumbukumbu za vifo vilivyojitokeza uchaguzi mkuu na tunatarajia uchaguzi mdogo wa Arusha mambo yatakuwa yaleyale kwani CCM sasa walivyo na roho ngumu ya...
Haya ndo kifuta jasho baada ya Uchaguzi mdogo wa igunga, peoplesssssssssssssssssssssssss power jamani hii CCM byebye 2015 wanatakiwa kujipanga.Pongezi kwa wana ARUMERU Jembe anatakiwa kujipanga sasa kwa urais.
madirector jamani ndo haohao utakuta director yeye,producer yeye,editing yeye ulaji utafanyaje kijana anajichukulia kiulainiiii kisa director mabinti jiadhali na hawa watu tafuteti shughuli nyingine jamani acheni kujidhalilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.