Suala sio mpasuaji mzuri inategemea na tumbo ulilokuwa nalo na jinsi utakavyoji tune baada ya upasuaji kwenye masuala ya mlo. Mie nilipigwa kisu na Mimba yangu tumbo lilikuwa kubwa c mchezo baada ya kujifungua sikulifunga na nilipasuliwa vzuri tena chini kabisa kuelekea kwenye kibofu na sio...
Acha ubishi,mie mwenyewe nilishatafuta hayo majani ila kabla ya kutumia nikam consult Dr kwanza akasema hayo majani sio ya kujinywea tu lazima ujue ingredients zilizotumika na blood group lako km vnaendana na mambo mengi tu ambayo siyakumbuki so acha ubishi ndugu na hyo mijani ya kichina
Nilijifungua 2008 kwa kisu so sikuweza kulifunga tumbo bcoz ya kidonda cha operation, sinc then tumbo langu ni kubwa , nifanye nini ili kulipunguza?Maana hata nguo hazikai fresh mwilini shauri ya tumbo. Nisaidieni pls
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.