Huyu mama si ndo mwizi nambari moja Tanzania.
Au mmesahau walivyokuwa wanagawana mapesa kwenye viroba????
Leo ninyi watanganyoko ndo mnamsifia kweli????
Usidhani uko huru ndugu yangu.
Mmiliki wa JF mwenyewe ni walewale vipepu na JF ipo kwa maslahi mapana ya kitengwa.
Kama huamini anzisha JF yako uone kama itaSimbadumu.
Mi naona mzigo wa kwenda kidato cha 5 ni mzito maradufu kuliko mzigo wa kwenda kusoma Diploma.
Fuatana nami kama ifuatavyo:-
1. Akienda kidato cha 5 utalipa ada ndogo lakini mahitaji mengine yatakuwa makubwa mno (nauli, daftari, sijui dawati, pesa ya mlinzi, mara sare, viatu n.k n.k). Akienda...
Unataka usome hizo kozi kwa ngazi ya Diploma au degree??
In short kama ni Degree soma course yoyote kati ya hizo na ujiandae kuwa Dalali, MC au motivational speaker pindi utakapomaliza Chuo.
Na kama ni Diploma kasome Procurement. Soko lake ni kubwa sana maana Kila sehemu kuna manunuzi na ugavi...
We PIMBI, mambo ya bandari kuuzwa hayanihusu.
Chukua 16,000,000 zidisha kwa Wilaya zote Tanzania then tafakari hiyo pesa ingenunua madawa kiasi gani katika Hospitali, ingeajiri vijana wangapi, ingejenga madaraja mangapi n k
Kalaghabaho!!
Salaam katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Mheshimiwa Rais naomba nikujulishe kuwa ile pesa Milioni kumi na sita (16,000,000/=) ulizotoa kwa kila Wilaya Kwa Makatibu Tawala ili wanunue FANICHA katika Nyumba wanazoishi wengi wao hawajanunua Fanicha kama lengo la fedha hizo lilivyo na...
1. Ufaulu wako wa undergraduate uwe kuanzia wa GPA ya 3.5 na kuendelea
2. Uwe unapita kwenye websites za vyuo vikuu mbalimbali (in short utenge muda wa kuwa una-search kwenye mtandao mara kwa mara) mi muda wangu mwingi nautumia hivyo na nina Magroup 5 tu ya WhatsApp
3. Uwe na nyaraka stahiki...
Nawasalimuni nyote!
Naamini mu wazima.
Naomba msaada wa kupata ushauri kama ifuatavyo;-
Niliomba Scholarship nchini China kusoma Master of Public Administration na pia niliomba nchini Ujerumani kusoma Master of Public Policy.
Scholarships zote ni za miaka 2 na kote wananilipia pesa ya ada...
Habarini zenu!
Naomba msaada ninunue gari gani kati ya haya mawili:-
Gari la mwaka 2011 lina features zifuatazo:
Limetembea km 156,000
Rangi nyeusi
Linauzwa Dola 3,500 CIF
Pia lina
Airbag
Alloy wheels
FOG lights
Car navigation system
Anti lock brakes
Power window
Back monitor
Air conditioner...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.