Ndugu Nape salaam,
Kati ya jambo lililonishangaza na kunifikirisha Sana ni kile ulichochapisha Ndugu Nape Nnauye ambaye ulipuuzia kuwa wewe ni mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na muwakilishi wa wananchi wa Jimbo lako la Mtama.
Katika kumjibu Ndugu Humphrey Polepole ambaye...
Sio CCM Bali nchi Kwa ujumla kuna wafanya biashara, waajiriwa, wanasiasa, na wengine wengi ni wahuni huu uhuni anaozungumzia Polepole ni broad term inabidi uwe top notch kumuelewa
Maendeleo hayaletwi na chama cha siasa Jambo la msingi na muhimu ni ushirikiano wa wananchi na serikali Yao China wangeangalia mambo ya vyama wasingefika hatua waliyopo leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.