Hizi line za lipa kwa sasa zimejaa mtaani kiasi kwamba limetikisa soko kubwa kwa mtandao mzima wa uwakala ambao hapo zamani ulikuwa na faida kibao.
Ukiangalia karibia mawakala wote wana line za lipa na huku vibanda vyao havina hata bidhaa ambazo zinauzwa
Hivi hizi kampuni za simu zimeona njia...
Nipo hapa kuelezea uhalisia wa mambo jinsi yalivyo na hii ni kutokana na matukio ya kihistoria ambayo dunia kwa kipindi fulani kimepitia na bado kinaendelea kupitia, vita vya Russia na Ukrein, Israel vs palestinian, bokoharam vs ecowas, M23(rwanda) vs congo n.k
Zanzibar kama taifa ndani ya...
Jikite kwenye dhana ambayo inajieleza hapo juu
Hakuna ukoloni mbaya kama ukoloni wa ki-utamaduni.
Tunajiita watanzania na lugha yetu ya taifa ni kiswahili, ni lugha ambayo imewaunganisha watanzania na kujiona wamoja
Halafu ...
Tunategemea lugha za nchi nyingine hasa (kiingereza) kama lugha...
Hii kwa wanaume!!!
Kama wewe ni baba na unataka kumtengeneza mwanao awe baba, usikubali kumpeleka mwanao kwenye shule za boarding...
Ajira zipo mtaani...mfanye mwanao ajue kitaa zaidi kwa sababu mafanikio ya mtoto yanategemeana na mazingira yanayomzunguka.
Mtoto wa kaka yangu aliponeshwa na hawa watu amini usiamini
Unajua ilikuwaje..........
Mtoto wa bro. alikuwa mwenye afya njema hadi alipotimiza miaka 2 ndipo akaanza kuugua na kukonda huku akijisaidia kinyesi cheusi
Alikonda na kubakia mifupa hospitali alitumia dawa lakini hakupata unafuu...
Enzi za ukoloni kwenye biashara ya utumwa waarabu walikuwa wanachagua wanaume wenye vimo vikubwa na wenye nguvu. Baada ya kutumikishwa huko ulaya na uarabuni wasalia yao waliuwawa wote.
Ila waafrika magharibi walichukuliwa utumwa bara la marekani wengi walibaki na kuendeleza kizazi hiki ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.