Ni changamoto sana, kuna jamaa yangu aliagiza Dar ila nahsi amepigwa copy maana inagonga kiasi alafu haikai na chaji. Mi nimeamua kuchukua ya oraimo angalau najua sio copy na inagonga vizuri sana ukilinganisha na bei yake.
Haya maisha haya, juzi kati hapa nimepaka rangi nyumba yangu, ile mvua ya kwanza kunyesha ukuta juu kidogo ya msingi ukawa unachafuliwa na maji ya kwenye bati yanayomwagika ardhini, kutafuta fundi akanipa bei hazieleweki. Nikasema kwani sayansi ya hapa si kutafuta slope tuu, nilitenga wikiendi...
Ndoa ninzaidi ya kuvutia kwa sura na umbo, mimi leo hii wakiniambia nivunje ndoa nichague mke mwingine, nitamchagua huyuhuyu niliye naye maana naskia raha tuu kuwa karibu naye ingawa sio pisi kali
Maeneo mengi vimepimwa, na uzuri ni kwamba havijamilikishwa, kwahiyo ukinunua process za umiliki unafanya mwenyewe. Bei inategemea na eneo lakn kwa kiwanja cha 20*30 unaweza pata kuanzia 3 M
Sijui kwa mikoa mingine, ila Mwanza watu wanajenga sana kuanzia km 15+ , watu wengi wamejenga usagara ambayo 25 km from city centre, ukija Ilemela watu wamejenga kuanzia Ilalila, Isela, Masemele na kwenda mbele hukoa ambazo 20+ km , sehemu kama buswelu ni within 10 - 15 km from city centre na...
Ndio tunaboard muda huu saa 7:20 usiku kwa safari ya saa 3:00 usiku, nilikuwa najua najua nitawahi harusi ya mshikaji wa damu ndio ishashindikana yaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.