dah.... hivi dunia hii kuna watu wanahoji aina ya chuo huyo dogo nazani hajawahi kukijua hicho chuo...amuulize baba yake au waliomzidi chuo sifaa ya hicho chuo.....pia sisi wengine tupo kwenye systm kitambo tunajua mambo y ajira yanaendaje hatujakurupuka....dogo kitaa kigumu....maliza na chuo...
Kaka usiogope bana me mwenyewe mwaka jana nialisha bt mwaka huu napiga moyo konde ntaweza tu kama vp me ninaenda pale uhasibu kurasini ntafute tupange mikakati ya kuendeleza buku 0788161180
dah ucjarindugu watatoa mimi mwenyewe nimechaguliwa hapo nimeangalia kwnye cmu na kupitia jamii forums tunawasiliana kama watu watatu hi mmoja kaomba kupitia nacte tutaftane 0788161180 ili tupeane taarifa.. tuko pamoja
.........habari ndugu zangu nashukuru tcu wamenichagua chuo cha moshi memorial college degree ya busness administration with education cjaipata iko vp vp inamaana unakuwa mwalimu wa ishu gani au mwenye uelewa plzzzz...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.