tafadhali naombeni mnisaidie kuzifahamu sheria za tanzania zinazohusika na haki za wafungwa kuexpress view zao pamoja na jinsi wanavyohusishwa kuchangia kwenye mchakato mzima wa katiba mpya.
yani unataka kuzaa na mke wa kaka yangu. jaribu! omba msamaha kabla ya saa moja kamili kesho. ucpofanya hivyo chagua adhabu kati ya zifuatazo. kushushwa shipa, kupotelewa kabisa na izo zinazokupa kiburi, kufanywa uwe na tamaa ya kukameruniwa, kukameruniwa, kufanywa uwe unatamani kuvaa nguo za...
Tatizo la wanawake wengi wa kibongo wamekrem kua wanaume ndo watoaji tu. wenyewe hawatoi yani cha wanaume chao cha kwao ni chakwao peke yao.wanawake acheni maisha ya kukrem na nyie onyesheni upendo kwa wame zenu kwa kuwatoa pia.
Star tv ni kati ya chanel ambazo zinajitahidi sana katika suala zima la kuwafungua macho watanzania. Hi ni kwa kujitahidi kurusha vipindi ambavyo kwa kweli ni mwanga kwa jamii mfano kipindi cha tuongee asubuhi show, bunge, midahalo mbalili mbali, na vinginevyo vingi ambavyo vinaigusa jamii...
Hakuna sababu ya kuwa na muungano kama hakuna serikali moja. Na hata wale wanaosema kuwa pawe na serikali tatu yaani sesikali ya mapinduzi Zbar, serikali ya jamuuri ya Tanganyika na serikali ya jamuuri ya muuanga ya Tanzania pia naona hawatakua na jipya kwani bado hapatakuwa na faida yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.