Star Tv kero tupu

kitumanga

Member
Aug 16, 2011
45
4
Star tv ni kati ya chanel ambazo zinajitahidi sana katika suala zima la kuwafungua macho watanzania. Hi ni kwa kujitahidi kurusha vipindi ambavyo kwa kweli ni mwanga kwa jamii mfano kipindi cha tuongee asubuhi show, bunge, midahalo mbalili mbali, na vinginevyo vingi ambavyo vinaigusa jamii direct. Ila kero yao kuu ni kuwa na mafundi mitambo waliolala yani unakuta star tv haishiki au inashika kwa kugomagoma kwa muda hata wa wiki bila kurekebishwa sasa sijui wanakua hawana taarifa au ni uzembe, tatizo lingine ni la kurudiarudia vipindi yaana unakuta kipindi cha mpira mech ya 2010 inarudiwa hata mara tatu mfululizo hi ni kwa faida gani? ndugu zangu wenye mawasiliano ya karibu nao naombeni kwa faida ya watz wengine muwashtue maana imezid siju ni iringa tu au tz nzima.
 
sio mafundi mitambo mkuu'jamaa hawana hela ya kununua equipment nzuri'kila siku ndio zao'biashara za miafrica hakuna kujirekebisha
 
ala kumbe, manake ule mrija wa kutunyonya ulikatwa na Mh.Highness siyo ha! ha! ha!
 
Nina zaidi ya week sijaona STAR TV. Imepotea kabisa kwenye ka setelite dish kangu!!
 
star tv ni kati ya chanel ambazo zinajitahidi sana katika suala zima la kuwafungua macho watanzania. Hi ni kwa kujitahidi kurusha vipindi ambavyo kwa kweli ni mwanga kwa jamii mfano kipindi cha tuongee asubuhi show, bunge, midahalo mbalili mbali, na vinginevyo vingi ambavyo vinaigusa jamii direct. Ila kero yao kuu ni kuwa na mafundi mitambo waliolala yani unakuta star tv haishiki au inashika kwa kugomagoma kwa muda hata wa wiki bila kurekebishwa sasa sijui wanakua hawana taarifa au ni uzembe, tatizo lingine ni la kurudiarudia vipindi yaana unakuta kipindi cha mpira mech ya 2010 inarudiwa hata mara tatu mfululizo hi ni kwa faida gani? Ndugu zangu wenye mawasiliano ya karibu nao naombeni kwa faida ya watz wengine muwashtue maana imezid siju ni iringa tu au tz nzima.

umeona eee!!!!!!!! Mbaya zaidi hiki kituo hakina hata mfumo wa kutoa maoni, ili kuwasitua wanapokosea.
 
Huki wasifia wataboronga hao ni magamba damdam . Hiyo dish ndogo nunua ft 8 hukuna husumbufu hutaipata bila shida mkuu
 
wanajitahidi na wanatoa habari kwa urefu zaidi sio hao tbc wazee wa headlines..
 
Back
Top Bottom