Nakubaliana na wanaosema Magufuli atakuwa under control kwa 100% ikipungua itakuwa 99.9 na kuachiwa 0.1 kwa ajili ya kum control mkewe na family yake lakini madaraka yake yapo chini ya kimvuli cha mfumo anaokwenda kuutumikia....
Hakuna marefu yasiyo na ncha.....
Si kushangazwa tu bali nasikitishwa pia kuona hata elimu tunayopewa watanzania wengi inatuandaa kuwa watwana kifikra na maamuzi ndio maana utaona hata wanao dhani kuwa ni wasomi bado wanashindwa kung'amua na kujiondoa katika mfumo kandamizi isipokuwa kwa wenye utashi, uthubutu na kujibidiisha...
Wakuu nisinge penda kuwa na maneno mengi lakini uzi ni kuhusu ongezeko la kile tunacho pokea mwisho na katikati ya mwezi kama malipo yaani mishahara pamoja na posho, ambapo katika kipindi hiki cha uchaguzi serikali imeonyesha kuwa mapenzi ya dhati kwa wafanya kazi wa wizara fulan fulan, katika...
M4C na kura tutazilinda tupo tayari kufa watoto wetu waishi vizuri kama ambavyo wao wanakuwa na hasira za kufanikasha wayatakayo kwa manufaa yao na familia zao, sitakuwa wa kwanza kufa ktk kusaka haki na hata kama wao watabaki je watabaki mpaka lini ikiwa kila mwenye maisha ni marehem mtarajiwa...
Da na hapa kwenye ngada noma wanataka kuimaliza nguvu kaz ya taifa pengine n mpango tu nao maana wtt wao hawatumii ili waendelee kututawala enhe siku izi si wanarithishana.
ni kweli kiongoz tunashuhudia mengi ila lililo nifurahisha ni hili la sisi watu wa mguu pande mguu sawa TUMEONGEZWA POSHO mara mbili ya ile ya awali sasa unadhan ntahitaji vip kufuga ng'ombe wakat maziwa nyama na vitu vya ngoz napata bure...
Hapa nasubir tarehe 60 pengine na salary itazidishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.