hahaha. mkuu wanajeshi wenyewe wanashangaa jinsi waTZ walivyo waoga. hiyo nidhamu unayoisema ipo kwa kina shimbo tu. wale madogo wengine wanaoishi nyumba za kupanga wanasubiri ishu kama ya NMC ikolee na hautaamini utakachokiona.
hakika katika mafanikio ulowahi kuyapata katika himaya yako ni kujenga shule za kata.
zimesaidia sana katika ku-promote uhuru wa fikra wa vijana/watoto wa Kitanzania. vitoto vidogo vimemaliza shule ya msingi juzijuzi tu lakini vina taarifa ya mambo mengi mema na mabaya yanayoendeshwa na...
sawa mkuu.
ila waache na wazalendo wazichambue.
huko kwenye vyombo vya habari vya Wayahudi ulipotea.
sasa mbona karibu mwezi sasa zioni update ya muendelezo wa mnakasha? makala ya mwisho imebaki ile ile ya 13/10/2011. vipi kwani?
kama Mwananchi wamegoma kuendelea kuzichapa, heri basi...
Ustaaz Mohamed.
Salamaleko Shekhe wangu.
Mbona unajikontrakti namna hiyo.
Nasubiri kuona kama Mwananchi wataendelea kuchapisha makala ambazo zimejaa hoja ambazo muandishi hawezi kuzitetea.
Kazi unayo mkuu.
Japo utataka kukataa, lakini aliyekushauri kuleta makala zako hapa JF nadhani unajuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.