Usiandike kitu kama huna uhakika,pale SAUT-MWANZA jumapili yenyewe paper zilikuwa zimapigwa sembuse jumamosi. Afu jitahid kufuata taratibu za watu ukienda kwao
People do not practice what they preach!!!!
Kwanza wanawake/wasichana waliokushauri ninaukika wote walishindwa kuvumilia wakatolewa bikira zao hata before hiyo age unayosema. We tafuta mtu anayekufaa muendelee kufurahishana wakati unasubir kuolewa. Pia kumbuka life is too short especially hiki...
Kula kazi za nje sio dhambi mkuu,ndo nyie mnaojifanya kupenda mpenda sio mkeo/demu wako akipigwa nje ni risasi au kuchoma moto nyumba. Mayombo zoea vya nje pia
Ndugu zang kama umjuavyo tabia za wachaga mwishoni mwa mwaka lazima warudi wakahesabiwe makwao.Msichana wang nae yupo kwenye hilo kundi hivyo ntakuwa free mpaka january 2014.Msichana mzuri mwenye mvuto anayetaka tuwe wote kwa hiki kipindi anipm. Tafadhali lazima uwe na mvuto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.