Ndugu zangu kuna jamaa nawaulizia humu sijawaona kabisa sijui wako wapi tena kina Rejao,Nape na wengine waliokuwa wanamshabikia marehemu ccm wako wapi?na je nabii Frora vipi hatoi unabii mwingine? nawasilisha msaada tafadhali
Doctor WILBROD SLAA kesho anatarajiwa kuwasili ktk mkoa wa mbeya ni kwa ajali ya kuja kuwashukuru watu wa nzovwe na mbeya vijijni kwa jinsi walivyoonyesha moyo wao wa kuiamini chadema;ikumbukwe kuwa kata ya nzovwe ilikuwa ikishikiliwa na chadema na diwani wake kujiudhuru lakini licha ya yote...
Ni muda umepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike,kuna huyu jamaa anaeitwa mwigulu nchemba alikuwa anagawa hela siku ya uchaguzi,tulipo pewa habari tulianza safari ya kufuatilia kwenye kata ya bukoko tulipofika tukaambiwa alikuwepo ila tayari kaelekea kijiji cha simbo tulipowapigia takukuru...
Ni siku chache zimepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike ambapo ccm ilitangazwa kuwa mshindi wa kinyang,anyilo hicho huyu jamaa alionekana akigawa sana hela na ndipo nikajiuliza je huyu ndio mtu anaevaa skafu za taifa akidai ni utaifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.