kamanda mkuu
Member
- Aug 5, 2011
- 15
- 4
Ni siku chache zimepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike ambapo ccm ilitangazwa kuwa mshindi wa kinyang,anyilo hicho huyu jamaa alionekana akigawa sana hela na ndipo nikajiuliza je huyu ndio mtu anaevaa skafu za taifa akidai ni utaifa