Habari wapendwa,
Nilikuwa naomba kuuliza kwa credit za masomo haya naweza kusoma course gani chuo kwa ngazi ya diploma?
KISW - D
ENG - C
GEO - D
CIV - D
CHEMI - D
PHY - F
BIO - C
MATH - F
RELIGION - C
Habari wana JF kwa muda mrefu nimekuwa nikiishi nae huyu rafiki angu kama mdogo wangu wa karibu sana ila jambo alilokuja kuniambia leo na kunambia nimpe ushauri kidogo nilisita na nikamwambia anipe mda nitamjibu.
Picha ipo hivi: Ni kijana wa miaka 22 - 25 ametokea kupendwa na msichana ambae ni...
Matokeo yangu ya (CSEE) yapo ivi
BIO=C
CHEMI=D
GEO=D
ENG=C
ISLAMIC=C
CIVICS=D
KISW=D
PHY=F
MATH=F
Div: 3 point 25
Natak kwenda advance kwa combination ya CBG lakin nimeambiwa siwez kufany mtihan wa mwisho nikiwa kam candidates. Naomba ushauri wenu nirepeat tena form 4 au niend advance nifanye...
Ivi mtu ambae anafanya mtihan kama pc kwa mar ya kwanza (yaan hakufanya mara ya mwanzo akafeli then aka reseat) je anakuwa saw na yule aliefany mar ya kwanza then aka repeat ?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.