Ha ha ha amewafanya misukule wake, mnashinda kusubiri hadithi za kutungwa kwan hamna kazi zingine za kufanya.
Nyie ndio mnaofanya akina bashite wajiamin wakijua lazma 2020 warudi kutawala.idiot!!!!
Je ni kweli naweza tengeneza my destiny kupitia mawazo na fikra zangu..nje ya destiny aliyonipangia Mungu.? je ni kweli mtu anaweza jitengenezea destiny yake au kila MTU ameshaandaliwa take HVO lazma atatembea humohumo??
Ndoa ni muunganiko wa kimwili na roho pia..iman nayo imesimama na roho pamoja..asa iman tofauti mnaaanzaje kuoana..eti beby nabadili dini kwa ajili yako ..mhhh peleka upumbavu huko
Kiswail kina uhaba wa maneno ila Mungu hamjaribu MTU Bali anampima kama amefika level flan akuinue zaidi, kama vile shulen twapewa mitian tuvuke madarasa..i
Kimbembe ni shetan yeye akikujaribu nia yake akuangushe ushindwe kuendelea mbele japokua hawez kufanya HVO bila kibali cha Mungu..na Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.