Putin's Puppet,
Huyo hawezi tena kuwa POTUS
Bora ukawa na hako kazee ikulu kuliko kutokuwa na Statesman,
Ilishatokea Tz,The Madman
Kwa kifupi huwezi kuwa na Rais Mwehu aongoze werevu,lilikuwa jambo la Muda tu
Kati ya kitu wazungu/Westerners wameshindwa na hawataweza kamwe ni kubadili mifumo ya maisha ya Waarabu/persians namna ya kuishi..
Hii hata Obama aliiongelea kwenye kitabu chake 'Dream from my father'
Hawa watu kuna makabila wanaamini ni uzao wa mitume and alike,ndio rahisi hata wao kuweza...
Wanawadiscourage wazamiaji wote ulimwenguni,we unawaza kwenda uk unajikuta Kigali kwa mwamba,dadeqi..
Na Mwamba anajua kunusa $,kaishalamba $130Mil,anasubiri waneng'eneke hukoo
Chamsingi ndugu jitoe kwenye huduma zao zote,songesha,sijui miito na makorokocho yote..
Hiyo kutuma tigo nadhani kuna lugha fulani ya biashara,wanadiskareji kutumia mtandao mwingine,so lazima wachaji ghali kidogo
Mimi huwa wananila pale matumizi bila bando,ila nimeshtukia siku hizi,
Nina uhakika...
Ufalme unalindwa ndugu yangu,asili iende vizazi na vizazi,angalia Botswana yule young prince alivyopataga shida kuoa mzungu na kufanya Botswana hii unayoiona leo
Hakuna kitu inawauma waingereza kama hiyo,
Hapo Maana yake Prince George siku moja akiwa mfalme,atakuwa na cousins wenye asili nyeusi,
Kwani hata Diana alichotaka kufanya kwa william,half brothers au sisters wangekuwa waarabu,wakamuondolea mbali..
Alafu Mambo mengine huwa hayafanywi na hao...
We jamaa umemaliza kila kitu.
Natofautiana na tafsiri ya kupuuzia mtu kukuchukulia mkeo.
Msamaha una nguvu kubwa sana kuliko ilivyo kulipiza kisasi.
Mtu anayeweza samehe ni Imara,while kulipa kisasi ni Udhaifu uliokithiri.
Mimi nitawasamehe wote,unawapa nafasi kuredeem,na huwa inawatesa sana...
Wewe Muulizeni Pk Tpdf Commando walichomfanya,hawezi Katu hata siku1 kuwa na jeuri hiyo,ana kiburi tu cha asili
Kigali kuko uchi tu,si alikuwaga anamkashifu jk,unajua mzee wa Msoga aliochomfanya??
Hapa ndioo unaweza tofautisha the Weakest and the Strong person,kwani angemsamehe na kumuacha tu??
Lady kaonesha udhaifu(ambayo ni kawaida yao)
ila mwanaume kaonyesha Udhaifu zaidi,
Tuishi nao kwa akili ni msemo mpana zaidi ya inavyofikirika,si kuleta majonzi kwa wanaokupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.