Aisee hivi hujui Amerca wanaongoza kwenda dubai, qatar nk?.. kula bata au unakaza fuvu. Wakenya uchawa umepitiliza.

Kwanza unatoka nje ya mada hii ndo tabia yako, kama huna hoja unatafuta sababu nyingine. Kubishana na watoto ambao wapo kwenye foolish age ni kupoteza muda.

Dubai hawana uzombi wa kidini, ila pia hawajiachii kula bata kama ilivyo Marekani, inabidi nyote mpatamani.
 
Relax mkuu,we kaa angalia game inavyokwenda!

Kwa sasa nime-relax, nilipata tabu siku mlipeleka msafara wa kilomita 60 Kyev, nikajua kiama kwa Ukraine, ila baada ya limsafara lote kufyekwa, hofu ikaniisha, endeleeni huko kwenye tumiji twa mipakani.
 

Hungary's Orban issues grim warning about European economy.He says,​

"An embargo on Russian gas would “ruin the whole European economy.”


Hungarian Prime Minister Viktor Orban has warned of the devastating effects of an EU embargo on gas from Russia, which Brussels hopes to introduce.
Speaking about the conflict between Russia and Ukraine in his regular Friday interview slot with Budapest's Kossuth Radio, Orban said, “the Hungarian government is almost the only one in the whole of Europe that isn’t talking about sanctions and war, but about the need for peace and investing in peace.”
“War isn’t in anyone’s interest,”
he insisted, adding that he was surprised to hear so few “voices for peace” within the bloc.
The sweeping EU sanctions imposed on Moscow over the military offensive in Ukraine, including a partial oil embargo, have led to a spike in energy and food prices across Europe.
Kremlin evaluates gas-for-rubles strategy
READ MORE
Kremlin evaluates gas-for-rubles strategy
“If they move to introduce a gas embargo they will ruin the whole European economy,” Orban warned.
Hungary, which arguably has the closest ties with Moscow among EU member states, has taken a more balanced stance on the Russian military operation.
While condemning the use of force and providing humanitarian aid to Ukraine, Budapest has refused to send weapons and consistently criticized the idea of restrictions on Russian oil, gas, and coal.
A partial embargo on Russian oil was introduced by the EU in late May, but Hungary was among the nations that were given a waiver.
Budapest, which receives most of its oil from Russia through a pipeline, had compared a full ban to having an “an atomic bomb” dropped on its economy.
Hungary doubles down on Zelensky remarks
READ MORE
Hungary doubles down on Zelensky remarks
Last month, European Commission President Ursula von der Leyen reiterated that the EU’s goal in the long run is to “get rid of the overall dependency on Russian fossil fuels, all three of them [gas, oil, and coal], and never to go back again.”
The Hungarian PM said he would not rule out the possibility of von der Leyen’s plans eventually coming to fruition, but a lot of it will depend on Europe’s largest economy, Germany.
Berlin initially stated that an oil embargo would be out of the question, but changed its mind just a few weeks later, Orban said, adding that the Germans can reject a ban on Russian gas now, but there’s no way of knowing if they will stick to that position in the future.
 
Kwa sasa nime-relax, nilipata tabu siku mlipeleka msafara wa kilomita 60 Kyev, nikajua kiama kwa Ukraine, ila baada ya limsafara lote kufyekwa, hofu ikaniisha, endeleeni huko kwenye tumiji twa mipakani.
Hizo taarifa za msafara wote wa km 60 kufyekwa wewe ulizipata wapi?Mlipigwa chenga ya mwili,kama watu wanaenda Kyeiv,mkajazana huko,watu wakarudi na kuteka miji na askari waliozingirwa na wakapinea huruma ya Putin aliyezuia wasigeuzwe majivu na badala yake wabanwe hata nzi asitoke,wakajisalimisha na Sasa wako wanasubiri hatima Yao!
Sikatai hata Russia kapata hasara ila ni kidogo ukilinganisha na hasara ya Ukraine plus misilaha ya west inayogeuzwa majivu kila siku!
 
shetani anawashangaa nyie mnaoshabika udhalimu unaofanywa na Urusi kisa chuki zenu dhidi ya Marekani mlizoaminshwa na dini.
Fatilia historia vizuri kuhusu Ukraine in and out mpaka ambavyo Rais Petro Poroshenko aliingia madarakani kupitia uchaguzi mwaka 2014, na kisha 2019 akaingia huyu Muingizaji kupitia duru ya pili akimshinda Mtangulizi wake na Sasa huyu ndiyo kaitupa Ukraine pabaya. Fatilia ki intelejensia ujue kwa nini alifanywa kuwa rais.

Hakuna anae shadadia vita, sababu wanaumia na kufa binadamu wenzetu, na hapa ndo maana NATO wanachukiwa kwa sababu wao ni kiini cha tatizo ili kutimiza malengo yao. Fatilia bila bias utakubaliana na Russia kwakua ndo the only option iliyokua imebakia, kumbuka hata wewe pale wazazi, walezi au walimu walipo amua kukuchapa walijua wazi si vizuri sana lakini ndiyo njia pekee mbadala ya kukuweka sawa
 
Hizo taarifa za msafara wote wa km 60 kufyekwa wewe ulizipata wapi?Mlipigwa chenga ya mwili,kama watu wanaenda Kyeiv,mkajazana huko,watu wakarudi na kuteka miji na askari waliozingirwa na wakapinea huruma ya Putin aliyezuia wasigeuzwe majivu na badala yake wabanwe hata nzi asitoke,wakajisalimisha na Sasa wako wanasubiri hatima Yao!
Sikatai hata Russia kapata hasara ila ni kidogo ukilinganisha na hasara ya Ukraine plus misilaha ya west inayogeuzwa majivu kila siku!

Hamnaa!! Sote tulishuhudia namna limsafara lote lilibadilishwa na kuwa chuma chakavu, aisei sitokuja kusahau yale madude Ukraine walikua wanatumia kulenga shabaha hivyo vifaru, yaani Mrusi ameingia hasara hadi basi, unasafirisha kifaru kwa magharama yote kisha kinaliwa shaba mara moja na jamaa aliyejificha shambani.....ha ha ha
 
Fatilia historia vizuri kuhusu Ukraine in and out mpaka ambavyo Rais Petro Poroshenko aliingia madarakani kupitia uchaguzi mwaka 2014, na kisha 2019 akaingia huyu Muingizaji kupitia duru ya pili akimshinda Mtangulizi wake na Sasa huyu ndiyo kaitupa Ukraine pabaya. Fatilia ki intelejensia ujue kwa nini alifanywa kuwa rais.

Hakuna anae shadadia vita, sababu wanaumia na kufa binadamu wenzetu, na hapa ndo maana NATO wanachukiwa kwa sababu wao ni kiini cha tatizo ili kutimiza malengo yao. Fatilia bila bias utakubaliana na Russia kwakua ndo the only option iliyokua imebakia, kumbuka hata wewe pale wazazi, walezi au walimu walipo amua kukuchapa walijua wazi si vizuri sana lakini ndiyo njia pekee mbadala ya kukuweka sawa

Historia ya nini, huyo Urusi nini kimemtoa ghafla akapeleka wanajeshi kwenda kufia kwenye nchi ya watu huku wakiua raia halafu nyie na dini yenu hiyo imewashikilia akili hamkai mfikirie, eti tu kisa mndhani anaikomoa Marekani.
 
Hizo Airtime mnazowapa kwa kuingia nao mijadala ndio inayoongeza utopolo wao kwenye hii thread... Ukipiga buti kinyesi utakikuta mguuni. Chukua koleo zoa katupe kule, I mean Ignore kama sio kwa kupiga blacklist basi usijibu ujinga wao. Mind you mdau wa nguvu... Unapozidi kutoboa tube y upepo ndivo unavozidi kutoka mdau.

Kwa Pro-NATO, maximum reply ni moja tu. Ya pili tatu kuendelea mara 1,000 ukacheze game la nyoka.
Hapa naongeza sauti mkuu Ask-Q Prof of facts. Ok imewatosha elimu
 
Kwa mara ya mwanzo wasemaji na wanausalama wa jeshi la Ukraine wamekiri kwamba askari wao kwa sasa wameingia kiwewe na kuanza kukimbia vita.Wasemaji hao wamebainisha kuwa wakati wakitegemea misaada kutoka nchi za NATO wameishiwa na kila kitu hivyo kuongeza idadi ya vifo miongoni mwao kunakotia hofu askari waliobaki.
1654952603138.png
 
Fatilia historia vizuri kuhusu Ukraine in and out mpaka ambavyo Rais Petro Poroshenko aliingia madarakani kupitia uchaguzi mwaka 2014, na kisha 2019 akaingia huyu Muingizaji kupitia duru ya pili akimshinda Mtangulizi wake na Sasa huyu ndiyo kaitupa Ukraine pabaya. Fatilia ki intelejensia ujue kwa nini alifanywa kuwa rais.

Hakuna anae shadadia vita, sababu wanaumia na kufa binadamu wenzetu, na hapa ndo maana NATO wanachukiwa kwa sababu wao ni kiini cha tatizo ili kutimiza malengo yao. Fatilia bila bias utakubaliana na Russia kwakua ndo the only option iliyokua imebakia, kumbuka hata wewe pale wazazi, walezi au walimu walipo amua kukuchapa walijua wazi si vizuri sana lakini ndiyo njia pekee mbadala ya kukuweka sawa
OYAA!!

UNATUUMIZA MACHO BHANA!!
 
Back
Top Bottom