Search results

  1. abiudy caleb

    Kwa wazoefu/watumiaji wa simu za samsung!

    tafta samsung galaxy pocket ina range 180,000-190,000, ina run android os v2.3.6 gingerbread 3gb internal storage, cpu 832hz na ram 280mb, iko poa ata mimi naitumia
  2. abiudy caleb

    Msaada jamani wa samsung galaxy mini yangu imezima wakati ikiwa chaji

    nimejarib kubadrisha betri lakin bado haiwak mkuu.
  3. abiudy caleb

    Msaada jamani wa samsung galaxy mini yangu imezima wakati ikiwa chaji

    samahan mkuu kwa kukaa kimya mda mrefu nilipata matatizo, nilitest kama ulivo nielekeza, lakin haikudetect kitu but ukiiweka chaj baada ya mda betry inajaa lakin haionyesh kama inapeleka so chager system inaweza kua mbovu wakat inaweza kuichaj betri? Msaada mkuu.
  4. abiudy caleb

    Msaada jamani wa samsung galaxy mini yangu imezima wakati ikiwa chaji

    jaman wana jf simu yangu samsung galaxy mini nilikua nimeiweka chaji then baada ya masaa kama maiwili kuigusa nikakuta imekua ya moto sana then nikaizima ili ipoe, baada ya mda kidogo nikajaribu kuiwasha ikagoma kuwaka.msaada jaman mwenzenu nimekwama.
  5. abiudy caleb

    Mgonjwa wa moyo

    Kuna moyo wa shoga ?Da
  6. abiudy caleb

    Fungua hapa ujibu hili swali.

    let kias atakacho pewa juma be X na hasan be X+50 Then juma +hasan =500 X+X+50=500 2X=450, X=225 juma=225 hasan=225+50=275
  7. abiudy caleb

    Majaliwa ya kupona kwa laptop yangu dell insipiron n5030 yapo mikononi mwenu.

    ni private tuonane nikutolee uje tekemeke mtaa wa mvuleni karibu na sokota uliza applemax computer
Back
Top Bottom