tafta samsung galaxy pocket ina range 180,000-190,000, ina run android os v2.3.6 gingerbread 3gb internal storage, cpu 832hz na ram 280mb, iko poa ata mimi naitumia
samahan mkuu kwa kukaa kimya mda mrefu nilipata matatizo, nilitest kama ulivo nielekeza, lakin haikudetect kitu but ukiiweka chaj baada ya mda betry inajaa lakin haionyesh kama inapeleka so chager system inaweza kua mbovu wakat inaweza kuichaj betri? Msaada mkuu.
jaman wana jf simu yangu samsung galaxy mini nilikua nimeiweka chaji then baada ya masaa kama maiwili kuigusa nikakuta imekua ya moto sana then nikaizima ili ipoe, baada ya mda kidogo nikajaribu kuiwasha ikagoma kuwaka.msaada jaman mwenzenu nimekwama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.