Kukaa na ndugu sitaki kabisa wala kukusikia tumekaa na ndugu toka tunazaliwa ila sahizi tunalipwa mabaya ila ndugu upande wa baba [emoji23][emoji23][emoji23] ni hatari kabisa tuombee maisha tusiwe mafiwi ,shangazi, mama wakubwa na wadogo wabaya kwa vizazi vyetu
Ndugu upande wa baba...
Kwani kaka ulikua unaoa Kijiji chote au ukitegemea ukioa ukae kwa wakwe kabisa ila nimeamini umaskin mbaya jamani tutafute kazi na pia tukipata kazi tukumbuke nyumbani maana tunajisahau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.