You are getting me wrong son, I said suppose it is true. I meant you didn't come up with anything tangible to drill your point home! Go home and do your home work, son!
Supose it is true, that isn't a new phenomenon in Tz. Do you know that WILLIAM MGANGA NGEREJA IS NOT THE ONE YOU KNOW? YOU MAY AS WELL RECALL THAT MOST OF THE "Doctors" I mean SO CALLED PHD HOLDERSin political position are bogus and not rel scholarly honors? Haya endeleeni
Du! Kweli njaa inamdhalilisha mtu. Kujikomba hadi unatengeneza keki ya rangi ya chama. Ndo wakuone umekunywa maji ya bendera? Nduguyo mwendawazimu akitembea uchi wewe mwenye akili ndo unaona haya.
nunua wakushikishe pakacha la mavi. Washachuma sasa wanatafuta pakutokea. Hukumbuki yale ya kampuni ya mwananchi iliyoanzisha kiwanda cha samaki mwanza na ndoto za kujenga gold refinery, wakatafuna hela za wazawa?
report ya cag ndiyo inayotambuliwa kisheria, siyo maoni ya wanajimbo. Hakuna mahakama inayoweza kumtia mtu hatiani kwa tuhuma za wizi wa kimahesabu/kifedha bila report ya auditor. Hujajua hatua za utawala bora, rule of law. Nenda shule dogo
Nyati aliyejeruhiwa ni hatari sana. Ole Milia kama unataka itikadi na sera karibu CHADEMA. Kama ni ubunge usidhani tuna upungufu wa wagombea baba! Umekuja na dhamira yako ya ubunge na unadhani kuna majuha wengi huku kwetu na unaamini unaweza kuwatumia Kama Ngazi ya kuufikia ubunge. You are wrong...
Nyati aliyejeruhiwa ni hatari sana. Ole Milia kama unataka itikadi na sera karibu CHADEMA. Kama ni ubunge usidhani tuna upungufu wa wagombea baba! Umekuja na dhamira yako ya ubunge na unadhani kuna majuha wengi huku kwetu na unaamini unaweza kuwatumia Kama Ngazi ya kuufikia ubunge. You are wrong...
Nyati aliyejeruhiwa ni hatari sana. Ole Milia kama unataka itikadi na sera karibu CHADEMA. Kama ni ubunge usidhani tuna upungufu wa wagombea baba! Umekuja na dhamira yako ya ubunge na unadhani kuna majuha wengi huku kwetu na unaamini unaweza kuwatumia Kama Ngazi ya kuufikia ubunge. You are wrong...
Nyati aliyejeruhiwa ni hatari sana. Ole Milia kama unataka itikadi na sera karibu CHADEMA. Kama ni ubunge usidhani tuna upungufu wa wagombea baba! Umekuja na dhamira yako ya ubunge na unadhani kuna majuha wengi huku kwetu na unaamini unaweza kuwatumia Kama Ngazi ya kuufikia ubunge. You are wrong...
Nyati aliyejeruhiwa ni hatari sana. Ole Milia kama unataka itikadi na sera karibu CHADEMA. Kama ni ubunge usidhani tuna upungufu wa wagombea baba! Umekuja na dhamira yako ya ubunge na unadhani kuna majuha wengi huku kwetu na unaamini unaweza kuwatumia Kama Ngazi ya kuufikia ubunge. You are wrong...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.