Nahitaji geotech technician ambaye ameisha fanya kazi za maabara na site.
Woman are given high priority.
Contact: Eng. David via whatsapp through 0752626218 please dont call.
Gharama za maisha zinazidi kupanda kila kukicha huku tukisadikishwa kwamba uchumi unapanda pia kwa 7%.
Ndugu zangu watanzania ni muda sasa wa kufanya maamuzi magumu hasa katika matumizi ya kila siku. Leo najikita katika masiliano na hasa kipindi hiki cha sikukuu.
TIGO kwa 595/= unapata sms...
WAPENDA MAENDELEO TUMSAIDIE RAISI WETU KWA KUMPA MAPENDEKEZO YETU ...hasa nafasi zilizo wazi kwenye mapendekezo haya:
1. OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika
Waziri wa...
Sihitaji kuwa usalama wa taifa wala mwanasiasa mashuhuri kujua Kitakachotokea baada ya mkutano na raisi wenu, wenu ndio kwani raisi wetu ni yule anayejua matatizo yetu, yeye na nukuu (Mwenyewe sijui kwaninin wananchi wangu masikini).
Kweli Mnyika hawakuliona hili, kila kikao kina minutes zake...
km mtanzania wa kawaida ambaye nilipata fursa ya elimu nina uwezo mkubwa wa kutatua matatizo na hasa vikwazo vilivyo mbele yangu, CHADEMA km chama kw ufahamu wangu mdogo ina uwezo mara dufu lakini ktk hili nina mashaka sana mi ningekuwa chama ningefanya hivi:
Mikutano ikizuiliwa...
In every man success there is a woman behind him, for our first lady Salma Kikwete does she know the role she suppose to play in out current bad situations.
Wadau,
Kunakipimo cha uwezo wa mtu kufikiria, ubunifu, au kuelewa mambo haraka(IQ), na kipimo cha chini ni IQ 70 na cha juu zaidi ni IQ 180
Kikwete (IQ) --------Nyerere (IQ)
kufikiri 40 -----------120
ubunifu 27 --------------133
kuona mbali 13.2 --------------150
kuelewa 7.2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.