Usipokuwa makini utakufa siku sio zako ! You need to let go and start over .. hiyo nyumba acha Benki wauze hao watoto utapata plan baadae. Huko nje this time kama unaweza kukaa zaidi pls do … Linda moyo wako kuliko chochote
Vituo Mbadala how wakati hizo Ndo almost hospital kubwa zenye huduma za kueleweka 😤😤😤.
Huu mgogoro NHIF mnaocreate ni sensitive kuliko chochote kile. Nimesoma hili tangazo ambacho sielewi mliwaza nini wakati mnadraft kitu cha aina hiyo na mmeondoa comment section kwenye page yenu acheni muone...
Kwa ambao tumekuwa tukifuatilia hii kesi from day one lazima tushtuke sana 😭😭😭Sasa nani alimuua Anathe jamani ?? Kwamba hao wameachiwa je muuaji kapatikana???
Ukweli wanaujua wao na Mungu anaona kama ni kweli ila damu ya mtu haipotei! Daah
Duh mitungi na tumbaku kwenye gari ? Why wanaruhusu hivyo vitu kufanyika kwenye gari ? Hiyo safari ya muda mrefu hivyo ni vzr mmiliki kuwa na security guy just incase kucontrol mambo ya ulevi kwenye gari . Wapumzike kwa amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.