Safi sana kaka Zakaria...Kwa taarifa fupi tu ni kwamba, maoni mengi yanazidi kutolewa kila siku na yanachukuliwa ili kuiboresha zaidi na zaidi. Ninachoamini "KILA KIZURI HAKIKOSI KASORO".
Usisite kuwaandikia wahusika moja kwa moja kwenye email: admin@shuledirect.co.tz au simu namba 0716 74 86...
Kwanza hongera kwa kutambua kuwa umekaa pasipo kufaa na panapokuumiza akili..Pili,pole kwa kuumizwa na timu ulizokuwa ukishabikia.
Ninachokushauri ni kwamba,uje upande wetu wa Simba "wazee wa kuvunja rekodi" na sisi tutakupokea kwa mikono minne(manake miwili haitoshi)..Na sharti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.