eti wachaga Wamezoea pesa mpaka ukiwauliza saa badala ya kusema kamili wanasema kesh(mfano ukiwauliza ni saa ngapi, kama ni sasaba kamili wanasema sasaba kesh!!
mfalme mmoja alitangaza kuwa binti yake anataka kuolewa.hivyo basi atakayetaka kumuoa nilazima avuke mto wenye mamba wengi.basi siku iliyofuatia vijana wakajitokeza kwa wingi.zoezi likaanza.kulikua na baunsa mmoja alikua akiwasukuma wenzake waliwe kwa sababu walikua wengi ili wale mamba wawale...
jamaa mmoja alienda sehemu ya mbali.sikumoja jamaa alikuwa amelewa sana(chakari)akiwa anaelekea nyumbani akakutana na mama mmoja.yule mama akamuuliza hivi wew unamjua mungu?yule mlevi akamjibu hivi:mimi ni mgeni hapa huyo mungu mbona simfahamu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.