Kama unahitaji kuipata fuata utaratibu wa huu
1.Karipoti Police
2.Police watakuelekeza barua kwenda kwenye Kampuni la simu mtandao uliokuwa unatumia.
3.Uchunguzi utafanywa: a) Kampuni yako ya simu wanaouwezo wa kutrack hiyo simu
b) Hatakama kabadili laini ya...
Fitina si kitu kizuri hata kidogo,azam malta hazina kilevi hata kidogo,mimi naitumia pamoja na jamaa zangu ambao hawatumii biere na hakuna hata mmoja aliethibitisha kuwa ina kilevi, watanzania endeleeni kukamua azam malta
mi nijuacho Wimbo wa Zanzibar ni wa kujifurahisha tu, Zanzibar SI nchi NI SEHEMU YA jamuhuri ya TZ, ni sawa na wimbo wa shule ya sekondari tu au ni sawa na wimbo wa jamii yoyote ile iliyopo ndani ya Jamuhuri ya TANZANIA, sioni haja ya kuujua
Ieleweke kuwa tuna Nchi moja tu ya TANZANIA...
Maoni yangu,
1.Huu muungano wa nchi Mbili ni lazima uzalishe serikari moja(Serikari ya jamuhuri ya Muungano ya Tanzania)-ni kiini macho cha hali ya juu kuwa nchi mbili zilizoungana zinazalisha serikali mbili eti ya Muungano na ya Zanzibar,hata mtoto mdogo wa darasa la chekechea anaelewa kuwa...
Mzee hiyo makitu ipo kwa sasa,LAKINI NI KINYUME NA SHERIA, sharti uinstall kwenye simu zote mbili, unaemhack na kwenye simu yako,then kila kitu unakipata live on time iwe sms,voice call,email na unaweza uka mtrack hadi sehemu alipo.NO SECURITY ANY MORE.
Angalizo kwa watu wanaopenda kuacha...
After all the movement from First Generation of mobile Technology(1stGeneration i.e. 1G) that includes the GSM(Global System for Mobilecommunication)whereby the customer was able to make and receive voice calls aswell as sending and receiving sms.
Innovation paved its way to Second...
+25515600-Bonyeza moja kukubali Vodacom Mobile radio!!vodacom swaga music radio,you can listen all the music you want ,haahaaa hiyo ni VAS ya voda, ila sijui inakula shilingi ngapi!! ukipiga 15600 you can listen hiyo music(bongofleva,international music,gospel nakadharika), na mambo mengine!
sisi tusiokuwa wa CCM, hatuna nchi,tumefukzwa nchini kwetu na kubaguliwa ndani ya nchi yetu,tuende wapi? tuitafute haki ya uananchi hapa kwetu,nadhani kauli ya Nape c kauli yake binafsi ni kauli ya Chama na ni ajenda ya chama na anaungwa mkono na wanachama wake,Natoa mwito kwa wasio kuwa wana...
1.Vijana wa mjini wanajifanya wajanja lkn hamna kitu(hawana pesa,hawajui kesho wanakula nini,wanalala wapi,watatibiwa vipi?}2.Vijana wa mjini hawajiandikishi kupiga kura(wanategemea miujiza,ni wa kwanza kusema maisha magumu,hawafikirii kinachowapa maisha magumu)3.Vijana wa mjini wamekata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.