Nimesikitika sana kama kweli hukutaka raisi aongelee suala la madaktari.....sijui ulitaka kusikia nini? eti unasema kuhusu sheria za bunge.....hizo sheria zipo ili kumsaida spika aongoze bunge...WACHAGA BANAAAA!!!!! Any way karibu jf naona umejiunga jana
Kama Mtz yeyeto yule naweza kutumia kigezo chochote kile katika kumkubali kiongozi mmja kati ya wanaotajwa na jamii kuweza kupewa nafasi ya kuongoza.Naomba kuweka wazi kuwa nasukumwa na nafsi yangu kumpima EL kwa matokeo ya leo Arumeru sababu anao uwezo mzuri wa kuongoza lakini ili niwe mfuasi...
Usimtaje Mungu kwenye kelele zako za kihuni hizo.Utaishia kushabikia MAWAZIRI VIVULI kazi yao ni fujo na unafiki wa kimasilahi and never shall they think of eradicating poverty in Tanzania and Africa at large.Be a wise thinker "TUMIKA USITUMIKISHWE".
Kuna mwanasiasa mmoja(EL) husisitiza kuwa njia mbadala ya kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana hapa nchini ni kutumia rasili mali zilizopo kukopa fedha toka nje na kujenga viwanda hatimae kuweza kuwapa vijana ajira.Je kama this is possible kwanini Watz tusichukuwe hatua hii? Au ndo kusema...
Yapata cku 10 tangu Ndugu Lowassa aseme kuwa hatovumilia tena kuchafuliwa na wanahabari,wanasiasa.Kilichonisukuma kuleta hoja hii ni UTII wa walengwa wa kauli ya lowassa hasa NAPE na MWANAHALISI.Maswali ya kujiuliza; 1:Je bado majibu kwa lowassa yanaandaliwa? kama ndivyo, tuyategemee lini...
una maana gani kusema "watu wa igunga wana uelewa mdogo???" acha izo mtu wangu hata kama wilaya yetu ina wasomi wachache tusaidieni sio kututusi kwa wewe una elimu gani uropokaji na ujuaji wa chadema hukohuko .
STUPID BOy!!!!!!
Wazo la mbunge hilo,yaani inashangaza kuwa mbunge anaweza kulihutubia taifa bila kujiandaa sababu anaonyesha kuwa hata hafahamu kuwa takwimu za mwisho wa mwaka jana zinaonyesha kuwa zaidi ya 80% ya walimu wanaofungwa huukumiwa kwa makosa yaliyo kinyume kabisa na taaluma ya ualimu.Je mheshimiwa...
Inafurahisha sana kuona watu tunavyoelewa mambo kwa sasa yaani hatudanganyiki na hata tukidanyika huwa tunapotezea japo ukweli tunao. il come next time members!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.