ARKADI MAKONA
Member
- Jun 25, 2011
- 14
- 2
Kuna mwanasiasa mmoja(EL) husisitiza kuwa njia mbadala ya kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana hapa nchini ni kutumia rasili mali zilizopo kukopa fedha toka nje na kujenga viwanda hatimae kuweza kuwapa vijana ajira.Je kama this is possible kwanini Watz tusichukuwe hatua hii? Au ndo kusema tutampaisha EL kisiasa??? NAOMBA KUWASILISHA