Hapa kuna mambo ya msingi ya kuzingatia ndugu zangu, tunaweza kufika kwenye sustainable architecture kama bodi na manispaa zetu zingeweka viwango kuwa ni nyumba inayopitishwa kujengwa inapunguza kwa asilimia ngapi matumizi ya umeme ( energy). wenzetu wana aina za nyumba wanaziita passivhaus more...
Hii kozi yako ni nzuri sana inahitajika sana lakini bado kwa nchi yetu haijapewa kipao mbele, unachotakiwa ni kutokata tamaa na kuendelee kutafuta kazi ila wewe ni mtu muhimu sana for innovations of properties and facillities. all the best .............you can try UDOM i think watakuhitaji sana...
Hongera sana, kwa hatua nzuri, ukimtumaini Mungu hakika hatakuacha, endelea kusimama kwenye maombi kwani kwa kutangaza hilo shetani umemtangazia vita. nimependa ujumbe wako na wengi wamekupongeza na mm nakupongeza na kukuombea. Mungu akuinue na kukutunza. Ukipenda unisaidie kubalisha avatar...
Mkuu pole kwa kifupi tu tumia muda uliopo kumuacha apooze hasira yake, najua unapenda kumsikia nn maoni yake lakini haitasaidia kwa sasa. akiwa katika hali ya upole na uelewa unaweza kujadili na kuweka mambo sawa. usilichukulie hili jambo kwa hasira mkuu kwani hapo vipau mbele vimetofautiana...
My brother Elia , kwanza potezea kabisa huo msaada kaka, badilisha ratiba yako ya kutoka ofisini na hata nyumbani kukwepa hii hali jitahidi kadri uwezavyo kuikimbia hii hali, nasema hivyo kwa sababu future yako yaweza badilika kwa siku moja tu. mke wa mtu epuka si wanadamu wote watakuwa na kikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.