Nashangaa unajiita gucci wakati hauna 'mane',Gucci na mwabaluh ngoja sasa niwachane,Acheni kunidiss au mnataka tuchapane?,mnanitia hasira au mnataka niwatukane?,hamniwez kwa lolote hata mkija wanane,km vp mjisalimishe tuungane tupatane,.....
mwabaluh we mchovu mi simba we chui,mistar yako imekosa nyama ka miguu ya buibui,we kwangu ni kama mtoto kwa mama yaan hakui,simaanishi kwamba hujui,ila me ni kubwa lako ka ni kombe huchukui,mistar yangu inaladha zaid ya la nazi tui,halafu cha ajabu unajifanya hunijui,...
Acha majigambo bwa mdogo,kwa freestyle am sure huniwez hata kdogo,ntakupa stress upate hasira ka za mbogo,huniwez kwa lolote we chogo,unachonisha wewe labda ku2pia mikorogo,....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.