Search results

  1. L

    Tolerating Her - Leads to Resenting Her

    psychologicaly you are ryt
  2. L

    Think twice

    Hivi ni kwa nini unaamua kuingia kwenye maisha ya mtu kama unajua fika kuwa hauko tayari kukaa naye? Nawasilisha
  3. L

    Heart broken again

    pole kaka yangu. Huu ni wakati wa kurudi magotini na kumwangalia Mungu mana my bible says kila chozi litapimwa na pia Mungu asema atakuwa shahidi wa mke/mume wa ujana wako. Mshukuru Mungu kwa hayo yote na mwambie unataka mwenza mana mke mwema atoka kwake, usitumie akili wala nguvu zako mana yupo...
  4. L

    Freeman Mbowe Bungeni Leo Live

    anaenda kwa data na wala si makadirio
  5. L

    Hii ndiyo NMB

    duh na wale ambao wanalipwa kupitia nmb c ndo wataibiwa hadi mwisho!
  6. L

    Sala kuombea chupi ya mume baada ya kuifua: KWA WANAWAKE TU!!!!!!!

    we mkare, uko sahihi na yapaswa iwe hivyo
  7. L

    Ni ushuhuda ambao umeniumiza kuusikia.....

    biblia inasema kila chozi litapimwa, hata chozi la mtoto huyu na wote wanaolia kuomba kwa ajili yake Mungu wetu ni mwaminifu na lililo kusudi lake ndilo litasimama.
  8. L

    Hajawahi kuniambia kama namridhisha

    ili mwenza wako aweze kuwa muwazi kwako lazima ukaribu wenu uwe wa namna nyingi awe pia rafiki yako wa karibu na muwe mnaweza kutaniana ama kuongea nast words bila kuoneana aibu ndipo anaweza kukuambia kila kitu.
  9. L

    UDOM vs UDSM

    mhh this is terrible
Back
Top Bottom