Wanaishi uhalisia, na wanaonekana kua na utimamu wa akili kuliko wanaojinasibu kua wasomi
Unadhani wasomi wameivusha nchi ukilinganisha na enzi za akina MKWAWA?
Atleast kaongea hoja though hakua na uwezo wa kuifafanua kama ulivofanya wew, hii ni kwakua anapungukiwa vitu flani vya kitaaluma
Hoja yake ni mhimu kufanyiwa kazi
Watanzania wana mambo ya ajabu, yaani badala ya kuona aibu kama taifa kwanin tuendelee kuwa watumwa kwa kukifanya kingereza kituendeshe , wanaona aibu kwa matokeo ya watanzania wenzao kuteseka na mfumo wa hiyo lugha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.