passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 5,892
- 11,374
Hakuna cha maana alichofanya Miradi yote mikubwa ni ya magufuliTokea aingie garama za maisha zimepanda kwa kasi ya hali ya juu upandishaji wa bei kiholela maisha yamezidi kuwa magumu. Kakuta miundombinu ya JPM na miradi alioacha akaiendeleza hakuna jambo jipya alilolianzisha, punguzeni njaa nyie machawa.
Tatizo lenu nyie machawa mkishapata vitengo huko huwa mnajisahau na kuanza kusifia tu yaani mbongo mpe kitengo njaa iishe tu.
Jambo kubwa ambalo awamu hii limefanya vyema kuliko awamu zote ni kukopa tu. Yupo vizuri.