Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

Tokea aingie garama za maisha zimepanda kwa kasi ya hali ya juu upandishaji wa bei kiholela maisha yamezidi kuwa magumu. Kakuta miundombinu ya JPM na miradi alioacha akaiendeleza hakuna jambo jipya alilolianzisha, punguzeni njaa nyie machawa.

Tatizo lenu nyie machawa mkishapata vitengo huko huwa mnajisahau na kuanza kusifia tu yaani mbongo mpe kitengo njaa iishe tu.

Jambo kubwa ambalo awamu hii limefanya vyema kuliko awamu zote ni kukopa tu. Yupo vizuri.
Hakuna cha maana alichofanya Miradi yote mikubwa ni ya magufuli
 
tujadili bila matusi, kwa ustaarabu tu, kama angekuwa serious, angenunua hizo mashine kidogo hivyo? unajua hela tu ya umeme ambao zanzibar wamesamehewa inatosha kununua hizo mashine ngapi, hela anayotumia kusafiri nchi za nje au niseme aliyosafiri hadi sasaivi inaweza kununua izo mashine hata zaidi ya 100? kwanini msiwe honest kwa nafsi zetu tu?
Wewe ni mbumbumbu au? Kidogo hivyo na zimenunuliwa.kwa Hospital zote za Mkoa Tanznaia nzima? Anunue zaidi ya idadi ya Hospital kwani ni mapambo?

Toka uhuru, wengine walinunua nini Sasa?
 
Tukiachana na kumalizia viporo Samia amefanya nini? Labda kuuza Rasilimali za nchi hapo Sana. Na kufunga taa za Barabarani Kwenye kila miji
Hivi ni viporo?
-Anajenga Vyuo Vikuu Mikoa 15
-Anajenga Skimu za Umwagiliaji zaidi ya 200
-Anajenga Bandari za kwenye Maziwa MbambaBay,Kigoma,Bukoba
-Anajenga Viwanja vya Ndege 15
-Anajenga maelfu ya Barabara(Hakuna Mji utaenda ukakosa taa za Barabarani kazi ya Samia hiyo).
-Amejenga na Kuunganisha grid ya Taifa Mikoa ya Kigoma na Katavi
-Anajenga Vyuo Vya ufundi 65 na amekamilisha 29
-Anajenga maelfu ya miradi ya Maji Nchi nzima na mradi wa pekee ni bwawa la Kidunda
-Anajenga Bandari ya Uvuvi Kilwa
-Anajenga masoko kila.sehemu kuanzia Kariakoo,ubungo, Tarime,Tunduma nk
-Anajenga Hospital za Rufaa za Kigoma na Ukerewe achana na zile zilizomshinda Mwendazake kama Chato,Mtwara nk Samia kazikamilisha.
-Kafungua na Kuunganisha maelfu ya Barabara za Vijijini

Mambo ni mengi mda ni mchache,hakuna Mkoa ambao hauna mradi kwenye sekta zote Tanzania Hadi huko kwenu uliko 👇👇

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1787092034966143046?t=R3cVX5W0wCQI40zuwGFL7g&s=19
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Hizo shule alizo boresha ni zipi hizo?kama ameboresha mbona watoto wa viongozi hawasomi huko kama zamani wakati wa Mwalimu Nyerere na Mwinyi ambapo watoto wao walisoma shule moja na Watanzania wengine!!
 
Hizo shule alizo boresha ni zipi hizo?kama ameboresha mbona watoto wa viongozi hawasomi huko kama zamani wakati wa Mwalimu Nyerere na Mwinyi ambapo watoto wao walisoma shule moja na Watanzania wengine!!
Watoto wako wanasoma huko?
1314136635.jpg
904541735.jpg
-1470395163.jpg
1788786682.jpg
-1943699279.jpg
-1777389216.jpg
-922811847.jpg
 
H
Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?

Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
View attachment 2984225View attachment 2984226View attachment 2984227

Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.

Na wewe taja alivyofanya Magufuli
Hivyo ni vitu vya kawaida;weka mega projects alizoanzisha yeye personally akiwa mtawala!!
 
H

Hivyo ni vitu vya kawaida;weka mega projects alizoanzisha yeye personally akiwa mtawala!!
Aanzishe yeye personally? 😂😂😂😂😂

Vitu vya kawaida na viliwashinda 😁😁..Hivyo unavyoita vya kawaida ndio viliwashinda na ndio vimeleta ustawi Kwa jamii kama hivi 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C6onyHxK4yj/?igsh=ZGJiOWZuMG0xNXh3

Mwisho,hata ukitaka miradi unayoita mega projects ni Mingi wakati wowote mfano hii hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C4ktYpktkEU/?igsh=MXMxd3lzZjQyZnRlcQ==

Samia sio looser kama yule mwingine,another question please?
 
Wewe umemuambia mara ngapi? Uongozi mbovu ndio umewazidi woote wakiwamo mnaodhani ni mahiri ndio maana mnakwepa kuweka takwimu Kwa sababu mtaaibika.

Mwisho kwani wewe ukisema ni mbovu yet ana deliver ndio itaondoa ukweli kwamba amewazidi? 😁😁
Kaa kwa kutulia 2025, Rais Gwajima anachukua nchi tunaanza upya!!
Save hii comment!
 
Kaa kwa kutulia 2025, Rais Gwajima anachukua nchi tunaanza upya!!
Save hii comment!
😂😂😂😂😂 Nchi gani hiyo?

Screenshot_20240507-222426.jpg
IMG-20230814-WA0000.jpg
Sukuma gang mnahangaika sana.Mama amewafikia Hadi huko ambako Rais wenu alishindwa.

Kazi zinaongea 👇👇
Screenshot_20240329-063224.jpg
 
Yani mie huwa nawaona MAFALA wanaomsifia Samia.
Hii nchi inajifia wao wanamsifia.
Ukikuta wafanyakazi wanasifia mshahara kuongezwa huku gharama za maisha zimepanda sasa hela iliyoongezwa si inarudi kulekule sawa na bure?!
Pia watu hawajiulizi serikali inaongeza mishahara pesa inatoa wapi ya kuongeza mishahara kila muda!?
Jinga kabisa hawa.
Wewe mbuzi jike ni lini Gharama za maisha ziliwahi kushuka? Gharama za maisha 2016 ni sawa na za 2020?

Nachokupendea Huwa unaropoka ila huna facts,Nchi inakufa yet maelfu ya biashara zinafunguka.

Wivu utakuua na kamwe hauwezi Gita ukweli kwamba Samia amewafinika wale mliodhani walifanya makubwa.

Ona hapa watu wamepewa Boti za uvuvi na viximba huko huko kwenu usukumani,yule mtu wenu alishindwa 😁😁😁👇👇

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1782675766011924915?t=s1Fi5HvITagVckGX0nJBZA&s=19

Nasisitiza hakuna mvaa suruali yeyote anseweza mzidi Samia Kwa chochote so far,miaka 3 imetisha kuwaonesha maana ya Uongozi.👇👇

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1781200484839075876?t=-K2FxUcxmyPQ7215aYVp0w&s=19
 
Chawa wanatumia nguvu sana kumpamba huyu Malikia!

Leo hii sehemu kama dar ukipanda kwenye daladala wananchi wana huzuni sana, yani Konda akianza kudai nauli tu watu wanakunja nyuso. Kwanza viwango halisi vya nauli havieleweki. Leo unalipa 800 kesho utalipa 700 kesho kutwa 1,000 na ruti ni ile ile.

Huyu Rais kwa uhovyo namfananisha na JK.
 
Chawa wanatumia nguvu sana kumpamba huyu Malikia!

Leo hii sehemu kama dar ukipanda kwenye daladala wananchi wana huzuni sana, yani Konda akianza kudai nauli tu watu wanakunja nyuso. Kwanza viwango halisi vya nauli havieleweki. Leo unalipa 800 kesho utalipa 700 kesho kutwa 1,000 na ruti ni ile ile.

Huyu Rais kwa uhovyo namfananisha na JK.
Sasa kama u hovyo was Samia unatuletea pesa na Ajira,wewe unataka uimara wa Mwendazake kutupora pesa? 🤣🤣🤣🤣🤣

Nguvu inaendelea kutumika kama Ifuatavyo 👇👇

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1780484501153468456?t=Yctl7Tr--jcAukmM4GEYew&s=19
 
Kwani maendeleo unayosema amefanya alikuja na hela kutoka zanziba kulipia hiyo miradi?

Sasa ni hivii mwambieni samia kwamba sisi watanganyika na hao wazanji tunataka katiba mpya, Tanganyika yetu iongozwe na watanganyika wenyewe kadhalika Zanzibar
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Uuze bandari , asilimia 80 zipotee na asilimia 20 zijenge zahanati afu tuendelee kumpa sifa?

Huna akili boss
 
Back
Top Bottom