Tecno Phantom Z haina external memory. Swip home screen kuna option mbili "Notifications na "switch" nenda switch na zima "low power" na "ultra power". Hii simu pia inawaka taratibu. Ikisumbua zaidi screen shot alf nitumie whatsapp km itawezekana nione inavyoonesha. Kwa msaada zaidi 0717008771
Huu utafiti una ukweli ndani yake. Lakini mleta mada amekuwa "too general" hajasema amehoji walimu wa kada gani! Je ni chekechea, shule za msingi, sekondari au vyuo vya ualimu? Mimi naamini sio walimu wote ni wanyonge kiasi hicho. Hata mifumo ya nchi, serikali yetu, Sera ya elimu na mambo kadha...
UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA
Imetolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.
1. Mamlaka za Uhamisho Kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na 8. ya mwaka 2002 ikisomwa na Kanuni zake pamoja na Taratibu za Uendeshaji za mwaka 2003
Mamlaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.