Inapunguza lakin sio unakunywa konyagi na minyama,chipsi na vyakula vngne vnanavyopelekea kuongeza mwili. Sana sana utakaanga maini na koo. Diet nzur,nia ya kupungua plus icho kinywaji vnaweza kukusaidia.
samahani kwani bangi ina mtuma mtu kuwaza,kuandika au kusema kile ambacho we wadhani hakifai katika jamii.Je,kosa la huyo kijana liko wapi na ian kuaje bangi inatajwa hapo ? unauhakika na ulichokiandika ? Kuna uhusiano kati ya wewe na bangi kwa undani zaidi ?
Wana JF...naomba mnisaidie my boy yuko mbali na ninapoishi,yupo busy sana,mawasiliano hafifu mpk nimtafute bt anashow km he loves me. Cmsumbui na v2 vngne zaidi yakumsisitizia ukaribu.cna imani km ana m2 mwingine.Nishaurini nifanye nin ?
Habari wapendwa..!
Jamani katika fikra zenu kuna uhusiano wa mbali.
Yaani uwe na mpenzi mbali na unako ishi ? na je utaweza vipi kukabiliana na swala la ukaribu ?
<br /> <br /
daah! Kwa hilo upo sawa kabisa yaan....lakn maji ya moto,konyagi ol grants bla nyama choma znapunguza mwil kweli ? Afu ninatembeaga mwendo mrefu mf.toka kkoo up to tazara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.