Habari,naomba nisaidiwe juu ya namna yakupunguza unene.
<br /> <br /acha kulidhika na kila kitu uwe unawaza nini chakufanya sawa mama..
Asante sana...lakin pombe kali nasikia inapunguzisha unene na pia sigara,je hlo ni sahihi ?
Hongera kwa kuwa conscious na mwili wako, hii inaonyesha ni jinsi gani uko responsible na concerned na afya yako!Habari,naomba nisaidiwe juu ya namna yakupunguza unene.
Asante sana...lakin pombe kali nasikia inapunguzisha unene na pia sigara,je hlo ni sahihi ?