Nadhani wewe ndio una low IQ. Mtoa mada ameongelea mambo mengi hili unalolisema likiwa mojawapo. Wewe umechagua kushupalia hapo maana ndio umepaelewa, mambo mengine aliyoyaongelea yamekuzidi upeo.Kwa hiyo usiwe na wivu ndugu yangu kama hujaelewa hayo mengine.Wajinga watadharau waelevu watatoka...
Ukitaka kujua Tanzania bado sana,angalia comment za humu.Nazungumzia wale wa -ve comment.mtu kaweka reference lakini unakuta mtu bado anakomaza shingo kwamba haiwezekani.Na huo ndio mtazamo wa jamii ya walio wengi.Tukija kuzinduka tutakuwa tumeshapotea.
Huu ni ubashite kiwango cha phd.kwa hiyo mtu akitaka kwenda kibaha mail moja au bagamoyo aombe kibali kwa bashite. Kwa kweli ni fedheha kuongozwa na watu wa namna hii. Yaani eti bashite ndo think tank ya mkuu wa kaya na nchi. Hatari sana
Hivi hawa viongozi wa hivi mkulu kawatoa wapi. Ila hayo mambo ya hivyo anayapenda kweli, na unaweza kushangaa anapandishw cheo kuwa RC. Chuki kama hizi zinahatarisha usalama wa nchi.
Kwa hiyo we unaona swala la michezo halistahili pongezi.Yeye ameona bora washindwe pote kwenye taaluma na michezo,kwa maana wasingeshinda asingewaandikisha maelezo. Je muda wote alikuwa wapi,kwa nini asubiri siku ya kupongezana anakuja na haya maigizo ya kiubabe.
Muda wote alikuwa wapi? Matokeo ya kidato cha nne yalitoka tangia mwezi wa pili,leo anajua kuna kuwajibishana?au kwa kuwa kipindi hicho alikuwa kwenye vuguvugu la tuhuma za kuiba vyeti.Hivi kwa akili zake anadhani swala la michezo kwenye taaluma ni kitu kidogo kwa hiyo akistahili pongezi.Na hiyo...
Swala la chorus kuwa kali ni subjective.kila mtu atakuja na chorus yake hapa.Lakini kuna hii chorus ambayo nadhani itaendelea kutamba kwa muongo mzima. ACHA WAISOME NAMBA EEEE,WAISOME NAMBAAA,FISIEMU MBELE KWA MBELEEE!
Tatizo wengi humu walikimbia hili somo la fizikia. kama speed meter sio mbovu vyote vitaenda sambamba.hata kama ukinzani (resistance) pamoja msuguano(friction) katika tairi kwa hivi vyombo viwili unatofautiana,chombo kinachokumbana na ukinzani zaidi itabidi kiongeze nguvu(power) zaidi ili...
tatizo watu wanashindwa kutofautisha transilational speed na rotational speed.kama unazungumzia translational speed ya 120km/h,iwe pikipiki au basi vyote vitakuwa sawa hata kama basi lina tairi ya diameter 1m na pikipiki 0.5m. Hii ni sawa na kusema kilo 100 za kokoto na kilo 100 za pamba kipi...
Wako sawa kabisa,maana simu is just a media kama kilivyo kitabu.zamani biblia ilikuwa kwenye magome ya miti au ngozi.kulingana na maendeleo ya kutokana na maendeleo ya kiteknologia ya uchapaji kwenye karatasi ndo vikaja hivi vitabu kwenye karatasi.kwa hiyo usije shangaa baada ya miaka 50 ijayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.