wana fj tushirikiane kuhusu hili..wiki mili zilizopita chuo cha ustawi wa jamii kilifungwa na serikal kwa muda uliojulikana kutokana na mgomo wa haadhiri,chakushangaza pamija na kuwa ni mgomo wa wahadhiri wanafunzi wanakuwa ndio waadhirika wakuu kwa maana ya kufukuzwa katika hosteli za chuo na...
Wakati nafungulia tv yangu asubuhi nilikutana na mchango wa mnyonge wa kiraracha kamanda wa zamini na mapinduzi bwana augustine mrema akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi..lakini badala ya kuzungumzia hoja iliyokuwa mbele yake na kuanza kukishambuli chama cha chadema kuwa kinamuandama na...
garald kasaliti huku akijiita document na akasahau wapo watu mafile na wapo kimya,ndio chuo kimefungwa nawaomba wana taasisi wa ustawi hata chuo kikifunguliwa wahakikishe mapacha watatu wanaondoka kabla ya kurudi chuoni huu ni upuuzi,hapa watu wanafikiri kwa tumbo badala ya kichwa haswaa mchomvu...
jombaa umenena lakini sie watanzania umasikini tumeona ni haki yetu na ikitokea tukipewa haki twaona ni bahati...all in all ile siku yaja.................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.