Search results

  1. M

    Mwana mpumbavu ni mzigo kwa mamaye!

    Unapo zungumzia nchi zilizokua mstari wa mbele kutaka uhuru wa nchi za kiafrika,hautakosea ukitaja TANZANIA. Katika nchi za kusini,mashariki na kati mwa AFRIKA,Ilipasa nchi kama tanzania iwe mstari wa mbele katika maswala kama ifuatavyo; 1)kiuchumi,kwasababu tunarasilimali za kila aina...
  2. M

    Polisi kuuwa raia wasiyo na hatia ruksa!

    Nijambo la kuhuzunisha kama siyo kusikitisha,kwa kiongozi aliye aminiwa na wananchi kuwawakilisha katika serikali na kuwatetea,anageuka kuwa mwiba kwa walio mpeleka. Mh. Mbunge mmoja wa moja ya majimbo mkoani dodoma,anachangia hoja ya bajeti ya wizara ya mambo ya ndani anadiriki kusema, polisi...
  3. M

    TUTAFAKARI MIAKA 50 YA UHURU au MIAKA 26 BAADA YA NYERERE?

    Ninakunjua jamvi waungwana msogee,tusaidiane kutafakari hili linalo niumiza kichwa,ya mwlm NYERERE nimengi yakujivunia kwa wenye uelewa nawalio shuhudia,hakuna awezaye kuishi chini ya jua asitende dhambi'isipokua masihi wa mungu peke yake nina maanisha hata kama MWALIMU alifanya mazuri kadhalika...
  4. M

    Kauli hizi huleta changamoto BUNGENI

    Napanda jukwaani nikikiri kwamba bado ni mchanga humu,naomba mnisaidie hili:nimesikia kauli nyingi zikiongelewa bungeni za kufurahisha na kukarahisha wengine,hivi leo mh. Alima mdee alipoanza kuchangia hoja kuhusu bajeti;namnukuu hatujaja kuuza sura hapa jingine kuwa na manjuka mwisho wa...
  5. M

    Kauli hizi huleta changamoto BUNGENI

    Napanda jukwaani nikikiri kwamba bado ni mchanga humu,naomba mnisaidie hili:nimesikia kauli nyingi zikiongelewa bungeni za kufurahisha na kukarahisha wengine,hivi leo mh. Halima mdee alipoanza kuchangia hoja kuhusu bajeti;namnukuu hatujaja kuuza sura hapa jingine kuwa na manjuka mwisho wa...
Back
Top Bottom