Masanyaraz
Member
- Jun 10, 2011
- 41
- 1
Napanda jukwaani nikikiri kwamba bado ni mchanga humu,naomba mnisaidie hili:nimesikia kauli nyingi zikiongelewa bungeni za kufurahisha na kukarahisha wengine,hivi leo mh. Alima mdee alipoanza kuchangia hoja kuhusu bajeti;namnukuu hatujaja kuuza sura hapa jingine kuwa na manjuka mwisho wa kunukuu,haya sasa maneno hayo yaliwachoma na kuwagusa wengi kiasi kwa mba mh kawawa akaomba mh mdee afute kauli hizo au kuzirekebisga,lakini kilichotokea alifafanua tu maana ya maneno hayo,nimetafakari binafsi sijapata jibu ndo maana nimelileta kwenu waungwana mnifungue ubongo.