Unataka kwenda kununua nguo dukani, nguo inauzwa shilingi 10,000, huna pesa kwa wakati huo so unaamua kukopa 5,000 kwa dada na 5,000 kwa kaka. unapoenda dukani unakuta nguo inauzwa 9,700 so unarudishiwa 300. unaamua kupunguza deni, unampa kaka shilingi 100 na dada 100 na wewe unabaki na 100. kwa...
3.5 inasoma senetor? kama hapana, jipange! Nyinyi mnaonaga UD ndo mko peke yenu duniani. ile last interview ya tra watu wa mlimani walikuwa sita tu! mana requirement ilikuwa ni upper second, watoto wa CBE na IFM na Tumaini walikuwa nyomi! ha ha ha ha poor senetor, utashangaa kukuta mtoto wa CBE...
Unataka kwenda kununua nguo dukani, nguo inauzwa shilingi 10,000, huna pesa kwa wakati huo so unaamua kukopa 5,000 kwa dada na 5,000 kwa kaka. unapoenda dukani unakuta nguo inauzwa 9,700 so unarudishiwa 300. unaamua kupunguza deni, unampa kaka shilingi 100 na dada 100 na wewe unabaki na 100. kwa...
nina experience nao hawa watu, nilianza na warefu ila siku moja jamaa akaniambia nijaribu mfupi, weh! ndo nikaona utamu sijawahi ona, hadi leo mimi na wafupi tu.
We umewahi kuona mtu mrefu ana mikono mifupi au vidole vifupi au mguu mfupi? mwili unakua kwa proportional ndugu yake, so hata ile...
Mi napenda kamtungi(kasichana kafupi), ni tutamu balaa! warefu ni good looking ila hutamu hakuna kitu. mwanadamu anakua kila kiungo cha mwili kwa usawa, mrefu tegemea m-bwawa hasa! hujui uko nani au nje! Tufupi ndo mpango mzima! warefu tupa kule!
Jamani si post yake iko wazi? kasema ameenda masters sawa, lakini yeye alichokuwa anasisitiza ni kuwa ana mwaka tangu apate CPA na si tangu apate masters. Mana aliweka wazi kuwa masters keshamaliza course work bado desertation sa mwaka kaumalizaje na masters. Kwa maelezo yake atakuwa amegraduate...
Duh! we umemkatisha tamaa mwana! yaani hata probation period hatomaliza? Mbona nimeona vijana wenye hizo qualification kama za huyo kaka wanapata kazi na wanafanya vizuri tu? Tusipende kuwashusha watu bwana!
Mi hata ukifika mwaka gani, kichwani mwangu sijaona movie ya kuzi-replace hizi hapa
1. Apocalypto
2.Troy
3.Gradietor
4.Merlin
5.Avator.
Napenda sana Adventure movies aisee.
ila ki ukweli kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine, yataka moyo hasa! Bora hata aliyetoa mimba ujanani man hakuna ushaidi lakini wa mtoto, hata mimi hapana!
Hapana, 2009 IFM walikuwa bado wanatoa Advance Diploma. Degree zimeanza kutolewa kwa wanafunzi waliomaliza 2011. Advance zimetoka mara ya mwisho mwaka 2010.
siyo kweli jamni mnayoyasema, mi leo ndo nimeamini kuwa wanaopata tra si wote wenye vimemo! majina ya tax officer yametoka ya waliofanya interview november, kuna watu zaidi ya watano ninaowajua wamepata na hawana mtu wanaye mjua pale hata mmoja! ila ninachokijua, washikaji ni wazuri sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.